Jumapili
Marchi 24, 2013
Marchi 24, 2013
Habari Kuu
Chadema:Iwe isiwe tutafanya maandamano
Posted 7 hours ago
Wakati wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakipanga kufanya maandamano makubwa leo jijini Dar es Salaam, Mwanza, Arusha na Mbeya kushinikiza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ajiuzulu...
Kitaifa

Wakili Mawalla ajiua
Posted 20 hours ago
Arusha. Giza limeukumba Mkoa wa Arusha baada ya kutokea vifo vya ghafla vya watu maarufu. Jana Wakili Nyaga Mawalla alifariki...
Kitaifa

Waendesha ‘bodaboda’ wamuua polisi
Posted 20 hours ago
Waendesha pikipiki maarufu ‘bodaboda’ wa Kijiji cha Ngwinde Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma wamemuua Polisi, Konstebo Yohana...
Kitaifa

Wasichana wadogo wafanya biashara ya ngono
Posted 19 hours ago
Ni usiku wa saa 4 nipo katika eneo maarufu la Buguruni lililopo jijini Dar es Salaam nikiwa nimekaa napata kinywaji kwenye baa...
No comments:
Post a Comment