AHAZI

AHAZI

Friday, March 29, 2013

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Baada ya msako wa Polisi walimkamata Chizi bila kujua, alipofikishwa kituoni yule Chizi alicheka sana alipoona picha ya Kikwete na Nyerere, walipomuuliza anachekea nini, akajibu:: "kweli msako wa leo mkali hadi Kikwete na Nyerere nao wamo"!!!!!

No comments:

Post a Comment