hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Baada ya msako wa Polisi walimkamata Chizi bila kujua, alipofikishwa kituoni yule Chizi alicheka sana alipoona picha ya Kikwete na Nyerere, walipomuuliza anachekea nini, akajibu:: "kweli msako wa leo mkali hadi Kikwete na Nyerere nao wamo"!!!!!
No comments:
Post a Comment