Siku hiyo kulikuwa na baridi kali sana na mke wake alikuwa safari. Afande Sele akiwa kajilaza chumbani akapata wazo mbadala.
Akapiga vocal na Housegirl ili alale naye chumbani kwake na Housegirl akakubalii. Kibinti cha miaka 4 cha afande kilikuwa kimesinzia teyari.
Ilipofika saa 8 usiku mtoto akaamka anataka kukojoa si akamwona Housegirl kalala na baba...
Mtoto: Baba kumbe we sio mwoga sana yaani umelala na dada Fatu.......Mama ntamwambia kumbe ni mwoga sana maana ye huwa analala na Afande Chacha ukiwa haupo...
No comments:
Post a Comment