Dei fulani Mutiso alitumwa gazeti na baba yake.
Conversation ilikuwa:
Baba: Mutiso kaninunulie gazeti la leo tarehe 20
Mutiso: sawa baba.
Akaenda kubuy akakosa ya tarehe 20, akabuy ya tarehe 10 mawili akarudi.
Baba: Mutiso umenunua mawili
Mutiso: hapana baba nimepata ka ya tarehe 20 yameisha ikabidi nibuy ya tarehe 10 mawili ukiadd c utapata hiyo tarehe uliyotaka
Baba: ??!?!
No comments:
Post a Comment