AHAZI

AHAZI

Sunday, March 17, 2013

mwananchi leo march 18, 2013


HABARI KUU

Polisi wapekua ofisi za Chadema, Lwakatare kufikishwa mahakamani leo

Posted 5 hours ago
Wakati Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo, jana mchana ofisi za makao makuu ya chama hicho zilipekuliwa na polisi na kuondoka na nyaraka mbalimbali....

No comments:

Post a Comment