The pair, who are neighbours at Sharnbrook, Bedfordshire, were 11 and
15 when Emma became pregnant. Sean and his mother moved next door to the
Websters in November 1996 and he became Emma's boyfriend shortly after
that. He is a 7th year at Margaret Beaufort School in the nearby village
of Riseley. Emma is studying for her GCSEs - including one in child
care - at Sharnbrook Upper School.
Last summer, Sean said he would stand by Emma and be there for the
baby. "I was shocked at first when I was told Emma was pregnant but I am
all right about it now." Emma said she thought Sean had told her he was
the same age as she was when they started going out.
AHAZI

Friday, March 29, 2013
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Baada ya msako wa Polisi walimkamata Chizi bila kujua, alipofikishwa kituoni yule Chizi alicheka sana alipoona picha ya Kikwete na Nyerere, walipomuuliza anachekea nini, akajibu:: "kweli msako wa leo mkali hadi Kikwete na Nyerere nao wamo"!!!!!
zuzu
Zuzu mwanamke akaamua
abadili SimCard, alipoweka ile mpya tu akam2mia sms Zuzu mwanaume ''Nishabadilisha namba hutonipata tena hasidi wewe''... yule Zuzu mwanaume akamjibu: "Nitahakikisha naitafuta hiyo namba yako mpya mpka
naipata''.
abadili SimCard, alipoweka ile mpya tu akam2mia sms Zuzu mwanaume ''Nishabadilisha namba hutonipata tena hasidi wewe''... yule Zuzu mwanaume akamjibu: "Nitahakikisha naitafuta hiyo namba yako mpya mpka
naipata''.
zuzu
Zuzu mwanamke akaamua
abadili SimCard, alipoweka ile mpya tu akam2mia sms Zuzu mwanaume ''Nishabadilisha namba hutonipata tena hasidi wewe''... yule Zuzu mwanaume akamjibu: "Nitahakikisha naitafuta hiyo namba yako mpya mpka
naipata''.
abadili SimCard, alipoweka ile mpya tu akam2mia sms Zuzu mwanaume ''Nishabadilisha namba hutonipata tena hasidi wewe''... yule Zuzu mwanaume akamjibu: "Nitahakikisha naitafuta hiyo namba yako mpya mpka
naipata''.
kazi kwako
Siku hiyo kulikuwa na baridi kali sana na mke wake alikuwa safari. Afande Sele akiwa kajilaza chumbani akapata wazo mbadala.
Akapiga vocal na Housegirl ili alale naye chumbani kwake na Housegirl akakubalii. Kibinti cha miaka 4 cha afande kilikuwa kimesinzia teyari.
Ilipofika saa 8 usiku mtoto akaamka anataka kukojoa si akamwona Housegirl kalala na baba...
Mtoto: Baba kumbe we sio mwoga sana yaani umelala na dada Fatu.......Mama ntamwambia kumbe ni mwoga sana maana ye huwa analala na Afande Chacha ukiwa haupo...
Akapiga vocal na Housegirl ili alale naye chumbani kwake na Housegirl akakubalii. Kibinti cha miaka 4 cha afande kilikuwa kimesinzia teyari.
Ilipofika saa 8 usiku mtoto akaamka anataka kukojoa si akamwona Housegirl kalala na baba...
Mtoto: Baba kumbe we sio mwoga sana yaani umelala na dada Fatu.......Mama ntamwambia kumbe ni mwoga sana maana ye huwa analala na Afande Chacha ukiwa haupo...
kujiua no
Eti..........kwa mfano umeenda dukani na Elfu kumi kununua kipaketi cha sh. 300 cha SUMU ya panya ili ujiue, kuna haja ya kudai chenji?
sali bana
Siku ya mwisho hakutakuwa na supplementary, ni pass au discontinuation na mbaya zaidi ni kwamba hakutakuwa na appeal maana God's judgement is 100% fair. Tujipangeni wakubwa
Sunday, March 24, 2013
uongo naoooooooooooooooooooo
Jamaa mmoja alimdanganya mpenzi wake kuwa
anasoma Hotel Management. Siku moja ghafula bini vuu huyo binti akamkuta
mpenzi wake anaosha vyombo kwa mama ntilie akamuuliza:Dear mbona upo
huku? Jamaa bila kusita akamjibu: Nipo field.
yaaaaaaaaaaaaaaa
Mama kajifungua mtoto, kabla hajapewa mwanae wakiwa bado wako leba dokta akaanza kuongea;
Dokta: Mungu mkubwa!
Mama akacheka kwa furaha halafu akauliza: Kwa nini dokta?
Dokta: Umezaa jembe!
Mama akazimia! Alidhani amezaa jembe la kulimia kumbe dokta alikuwa anamaanisha amejifungua mtoto wa kiume.
Dokta: Mungu mkubwa!
Mama akacheka kwa furaha halafu akauliza: Kwa nini dokta?
Dokta: Umezaa jembe!
Mama akazimia! Alidhani amezaa jembe la kulimia kumbe dokta alikuwa anamaanisha amejifungua mtoto wa kiume.
yaaaaaaaaaaaaaaa
Mama kajifungua mtoto, kabla hajapewa mwanae wakiwa bado wako leba dokta akaanza kuongea;
Dokta: Mungu mkubwa!
Mama akacheka kwa furaha halafu akauliza: Kwa nini dokta?
Dokta: Umezaa jembe!
Mama akazimia! Alidhani amezaa jembe la kulimia kumbe dokta alikuwa anamaanisha amejifungua mtoto wa kiume.
Dokta: Mungu mkubwa!
Mama akacheka kwa furaha halafu akauliza: Kwa nini dokta?
Dokta: Umezaa jembe!
Mama akazimia! Alidhani amezaa jembe la kulimia kumbe dokta alikuwa anamaanisha amejifungua mtoto wa kiume.
toto jinga kabisa
Dei fulani Mutiso alitumwa gazeti na baba yake.
Conversation ilikuwa:
Baba: Mutiso kaninunulie gazeti la leo tarehe 20
Mutiso: sawa baba.
Akaenda kubuy akakosa ya tarehe 20, akabuy ya tarehe 10 mawili akarudi.
Baba: Mutiso umenunua mawili
Mutiso: hapana baba nimepata ka ya tarehe 20 yameisha ikabidi nibuy ya tarehe 10 mawili ukiadd c utapata hiyo tarehe uliyotaka
Baba: ??!?!
Conversation ilikuwa:
Baba: Mutiso kaninunulie gazeti la leo tarehe 20
Mutiso: sawa baba.
Akaenda kubuy akakosa ya tarehe 20, akabuy ya tarehe 10 mawili akarudi.
Baba: Mutiso umenunua mawili
Mutiso: hapana baba nimepata ka ya tarehe 20 yameisha ikabidi nibuy ya tarehe 10 mawili ukiadd c utapata hiyo tarehe uliyotaka
Baba: ??!?!
demu akizingua nawe mzingueeeee
wife na husband walikosana. wife akapack nguo zake kwenye bag.
Conversation yake na husband ikakuwa:
Husband: unakwenda wapi??
Wife: nakwenda kwa mamangu.
husband kuckia vile na yy akaanza kupack nguo zake kwa bag.
Wife :(kwa mshangao) na ww unaenda wapi??
Husband: kwa mama yangu pia.
Wife: na watoto wako utamuachia nani??
Husband: na wao pia wataenda kwa mama yao.
Wife kuckia ivo akarudisha nguo kwa kabati akaenda kudoz
Conversation yake na husband ikakuwa:
Husband: unakwenda wapi??
Wife: nakwenda kwa mamangu.
husband kuckia vile na yy akaanza kupack nguo zake kwa bag.
Wife :(kwa mshangao) na ww unaenda wapi??
Husband: kwa mama yangu pia.
Wife: na watoto wako utamuachia nani??
Husband: na wao pia wataenda kwa mama yao.
Wife kuckia ivo akarudisha nguo kwa kabati akaenda kudoz
mwananchi leo jumapili 24/03/2013
Jumapili
Marchi 24, 2013
Marchi 24, 2013
Chaguo Letu Leo


Habari Kuu
Chadema:Iwe isiwe tutafanya maandamano
Posted 7 hours ago
Wakati wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakipanga kufanya maandamano makubwa leo jijini Dar es Salaam, Mwanza, Arusha na Mbeya kushinikiza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ajiuzulu...
Maoni [11]
Kitaifa

Wakili Mawalla ajiua
Posted 20 hours ago
Arusha. Giza limeukumba Mkoa wa Arusha baada ya kutokea vifo vya ghafla vya watu maarufu. Jana Wakili Nyaga Mawalla alifariki...
Kitaifa

Waendesha ‘bodaboda’ wamuua polisi
Posted 20 hours ago
Waendesha pikipiki maarufu ‘bodaboda’ wa Kijiji cha Ngwinde Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma wamemuua Polisi, Konstebo Yohana...
Kitaifa

Wasichana wadogo wafanya biashara ya ngono
Posted 19 hours ago
Ni usiku wa saa 4 nipo katika eneo maarufu la Buguruni lililopo jijini Dar es Salaam nikiwa nimekaa napata kinywaji kwenye baa...
Saturday, March 23, 2013
Meet The World's Youngest Father
Sean Stewart became the youngest father in Britain yesterday when his girlfriend gave birth to a healthy son. Sean is 12 and girlfriend Emma Webster is 16-year-old girlfriend
The Great Chinua Achebe is Dead
Chinua Achebe, one of the world’s most celebrated writers and author of the classic novel Things Fall Apart, is dead.
He died last night in a hospital in Boston, Massachusetts. Professor Achebe had been sick for some time.
He was 82, having been born on November 16, 1930, and had been in hospital in recent days.
Achebe is best known for his classical novel Things fall Apart. His last book, There Was A Country: A Personal History of Biafra, is still making waves.
May his soul rest in perfect peace.
He was 82, having been born on November 16, 1930, and had been in hospital in recent days.
Achebe is best known for his classical novel Things fall Apart. His last book, There Was A Country: A Personal History of Biafra, is still making waves.
May his soul rest in perfect peace.
Monday, March 18, 2013
AGONGWA, AJALI:, BAMAGA, ENEO, GARI, LA, NA, TRAFIKI
Trafiki mmoja ambaye amefahamika kwa jina moja la Elikiza, muda huu amegongwa na gari aina ya VX ambayo haikujulikana namba na inadhaniwa kuwa amekufa papo hapo wakati akiongoza magari eneo la mataa ya Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam. Taarifa zilizopatikana eneo la tukio zinadai kuwa Trafiki huyo alikuwa akiongoza msafara na baada ya msafara huo, aliruhusu magari mengine yaendelee na safari ndipo ghafla gari lilipotoka upande wa pili na kumgonga.ajali hiyo imetokea leo tarehe 18/03/2013
Sunday, March 17, 2013
mwananchi leo march 18, 2013
Chaguo Letu Leo



HABARI KUU
Polisi wapekua ofisi za Chadema, Lwakatare kufikishwa mahakamani leo
Posted 5 hours ago
Wakati Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo, jana mchana ofisi za makao makuu ya chama hicho zilipekuliwa na polisi na kuondoka na nyaraka mbalimbali....
KITAIFA

Mtawa apigwa risasi, aporwa Sh20 mil
Posted 5 hours ago
Arusha. Watu wanaoaminika kuwa ni majambazi, wamemjeruhi kwa kumpiga risasi Mtawa wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Arusha,...
KITAIFA

Manumba: Nilizinduka baada ya siku 42, sasa naendelea vizuri
Posted 4 hours ago
MwananchiJohannesburg. Mkurugen-zi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba amezung-umzia ugonjwa wake ambao ulisababisha...
KITAIFA

Utendaji wa Papa waendelea kuduwaza wengi
Posted 5 hours ago
Vatican City. Papa Francis ameadhimisha misa yake ya kwanza tangu alipochaguliwa kuwa kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki...
- TCRA iungwe mkono matangazo ya mfumo wa dijitali
- Busara inahitajika kumaliza mzozo wa Bunge, Chadema
- Tuhamishie fikra zetu mechi ya Stars na Morocco
- Malumbano ya Serikali, TFF kwa tija ya nani?
- Tamasha la Pasaka lisambaze ujumbe wa upendo kidini
- Taratibu, Tanzania inaelekea kuwa nchi ya kimafyawww.facebook.com
mwananchi leo march 18, 2013
Chaguo Letu Leo



HABARI KUU
Polisi wapekua ofisi za Chadema, Lwakatare kufikishwa mahakamani leo
Posted 5 hours ago
Wakati Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo, jana mchana ofisi za makao makuu ya chama hicho zilipekuliwa na polisi na kuondoka na nyaraka mbalimbali....
KITAIFA

Mtawa apigwa risasi, aporwa Sh20 mil
Posted 5 hours ago
Arusha. Watu wanaoaminika kuwa ni majambazi, wamemjeruhi kwa kumpiga risasi Mtawa wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Arusha,...
KITAIFA

Manumba: Nilizinduka baada ya siku 42, sasa naendelea vizuri
Posted 4 hours ago
MwananchiJohannesburg. Mkurugen-zi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba amezung-umzia ugonjwa wake ambao ulisababisha...
KITAIFA

Utendaji wa Papa waendelea kuduwaza wengi
Posted 5 hours ago
Vatican City. Papa Francis ameadhimisha misa yake ya kwanza tangu alipochaguliwa kuwa kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki...
Subscribe to:
Posts (Atom)