AHAZI

AHAZI

Sunday, July 31, 2016

Hii dawa hatari

KINYWAJI KITACHOFANYA UONE TUMBO LIKIPOTEA NDANI YA WIKI MOJA
Chukua jagi kubwa na weka vifuatavyo:
1. Maji na slice za:
2. Matango yaliyokatwakatwa
3. Malimao au Ndimu
4. Mdalasini
5. Tangawizi au Manjano ukiweza kupata
6. Majani ya mint (ukipata)

Weka mchanganyiko kwenye friji na tumia kama maji ya kawaida. Ukipenda maji yakiisha weka maji mapya, ila ni vizuri zaidi ukila hayo matunda na kuweka mengine fresh. Ukiachana na kuondoa mafuta ya tumbo, mchanganyiko huu ni mzuri kwa kuondoa sumu mwilini. Kama ladha unaiona kali sana, ruksa kuongeza kijiko cha asali. Share na wengine wajifunze!



aPosted via Blogaway

No comments:

Post a Comment