AHAZI

AHAZI

Sunday, July 31, 2016

Bustani popote

*BUSTANI YA MFUKO/GUNIA*

               *Mahitaji*

1. Chukua mfuko, gunia au salfate,

2. Andaa udongo, mchanga na mbolea kwa ratio ya 1:1:1

3. Andaa kokoto.

4. Kopo kisadolin hawa kikiwa kile chenye mfumo wa pipa ili kiwe na kipenyo sawa pande zote then litoboe hilo kopo liwe waz pande zote

*Utengeneza*

*i* Changanya mchanganyiko wa udongo, mbolea na mchanga

*ii* chukua mfuko wako ufunue uwe wazi ikibid uukunje ili kimo kipungue kidogo

*iii* weka kopo lako ktkt ya mfuko lijaze kokoto hilo kipo

*iv* weka udongo wako uliouandaa kwenye mfuko had kufikia kimo cha kopo lako.

*v* livute juu hilo kopo ili kokoto zibak livute had lifikie usawa wa juu zilipoishia kokoto zako za kwanza

*rudia kuweka kokoto, na udongo kama (iii) na (iv) alafu then namba (v) had ufikie juu usawa wa mfuko wako.*

VI. Toboa mfuko kwa umbal wa cm15 kati ya shimo na na shimo kama unapanda chines, sukumawik na mimea inayofanana na hiyo.

*bustan ya mfuko inafaa kupanda mboga mboga na ni rahisi kuhudumia*

*Note* unapoweka udongo hakikisha unashindilie ili utakapomwagia maji mfuko usijikunje

*unapomwagilia maji mimina kwenye kokoto na udongo wote utapata maji*



aPosted via Blogaway

No comments:

Post a Comment