Jamaa Mmoja Alikuwa Safarini Gari
Likamharibikia Kijijini Akaomba Hifadhi
Akakaribishwa Baada Ya Kuoga Na Kula.
Mzee: Sasa Sijui Huyu Mgeni Atalala Wapi?
Mke: Sa Hizi Ni Usiku Akalale Na Bebi.
Jamaa Akaona Huyu Bebi Pengine Ni Mtoto
Anakojoa Kitandani Au Akalia Asije
Akamsumbua Usiku.
Jamaa: Msipate Tabu Mi Nitalala Hapa Kwenye
Kochi.
Akalala, Asubuhi Wakawa Wanakunywa Chai
Akaibuka Mrembo, Jamaa Akapigwa Mshangao
Nusu Ajimwagie Chai.
Binti: Naitwa Bebi We Unaitwa Nani?
Jamaa Akasema " Mi Naitwa Fala😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆
aPosted via Blogaway
No comments:
Post a Comment