AHAZI

AHAZI

Monday, April 29, 2013

Traditional Economy:can we return to traditional economy for our economic development?


traditional economy practiced early in historical epoch with the following characteristics,
1.centers on families, clans, or tribes
2.decisions are based on customs and beliefs
3.Good of the group always comes before individual desires
advantage of this traditional economy is that there are little disagreement over goals, roles,methods of production, distribution determined by custom
Disadvantages includes, as result of resistance to change, less productive, do not use new methods; people not in jobs they are best suited for
low productivity results in low standard of living.

Sunday, April 28, 2013

Dear Readers: "I am In Love With My Brother. Please Help"


Please help me resolve this problem I am having with my mother’s eldest son.

 She gave birth to him long before she met and married my father.

 We didn’t grow up together because his father took him from my mother when he was still young. He didn’t even allow him come visit my mother. But he decided to come when his father died. From all indices, he is well-to-do.

 Right from the very first day I met him, I fell in love with him. I want him like I have never desired any man. I have tried to control my emotions but the more I try, the harder it becomes for me to stop my feelings for him.

 He recently came to our mother to introduce the woman he intends to marry. I hate her with a passion because she has what belongs to me.

 How do I get him to love me and forget about the woman in his life? Although some of my friends say what I feel for him isn’t permitted but we don’t have the same father which means I can marry him, isn’t it?

 Please tell me it is right for me to pursue him; that I can marry him. He is everything I have ever wanted in a man. On account of what I feel for him, I terminated my relationship with my former boyfriend.

 Another thing is how do I go about presenting my desire to him?

Friday, April 26, 2013

HISTORIA YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBA


Mkataba wa Muungano ulitiwa saini na Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amani Karume, Aprili 22, 1964, Zanzibar.
     Ulithibitishwa na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi Aprili 26, 1964, na Aprili 27, 1964 viongozi hao walikutana katika ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Dalaam kubadilishana hati za Muungano.
    Sheria za Muungano ilitamka kwamba, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar zililazimika,  kuwa dola ya Jamhuri kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, jina ambalo lilibadilishwa Oktoba 28, 1964 na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia sheria ya Jamhuri ya Muungano, sheria namba 61, ya mwaka 1964.
     Msingi wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 ni Hati za Muungano za Mwaka 1964.
     Hati za Muungano zilitiwa saini na Nyerere na Karume, Aprili 22, 1964 na hapo Tanganyika na Zanzibar kuwa dola moja kwa misngi inayotambulika kimataifa. Baada ya kuungana, Mwalimu Nyerere alikuwa rais wa kwanza na Karume alikuwa makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
      Aprili 26, 1964, bunge la Tanganyika lilipitisha sheria za Muungano, ambazo baadayezilithibitishwa na Baraza la Mapinduzi Zanzibar.
      Mnamo Aprili 27, 1964 waasisi wa Muungano walibadilishana Hati za Muungano na wajumbe saba wa Baraza la Mapinduzi waliapishwa kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Watanganyika na Zanzibar ambao ni Amani Karume, Kassim Abdallah Hanga, Abdulrahman Babu, Hassan Nassor Moyo, Aboud Jumbe, Hasnu Makame na Idris Abdul Wakil. Kati yao, Aboud Jumbe na Hassan Nassor Moyo wangali hai.
     Katiba ya muda ya mwaka 1965 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilianisha mambo 11 ambayo yalikubalika kuwa ni ya Muungano ambayo ni; Katiba na Serikali ya Muungano, Mambo ya nchi za nje, Ulinzi, Polisi, Mamlaka juu ya mambo yanayohusika na hali ya hatari, Uraia, Uhamiaji, Mikopo na Biashara za nje, Utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na mashirika, ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa Tanzania unaosimamiwa na idara ya forodha, Bandari, mambo yanayohusika na usafiri wa anga, posta na simu.
      Katiba ya muda ya mwaka 1965 ilianisha utawala wa serikali ya mfumo wa chama kimoja, TANU kwa Bara na ASP kwa Zanzibar. Katiba hii, ilizingatia misingi ya makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964 na sheria za Muungano wa Tangayika za Zanzibar.
      Katiba hiyo ilianisha serikali mbili, uwakilishi wa Zanzibar katika bunge la Muungano ikiwa na mamlaka juu ya mambo yote ya Muungano na mambo yasiyo ya Muungano kwa upande  wa Tanganyika. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikiwa na mamlaka juu ya mambo yote yasiyo ya Muungano yahusuyo Zanzibar.
       Hata hivyo mambo ya Muungano yaliongezwa kutoka 11 hadi 22 kutokana na mahitaji ya ndani ya nchi pamoja na mabadiliko yaliyokuwa yanaendelea kutokea ulimwengini baada ya Muungano.
       Mwaka 1985, jambo la 12 linalohusu sarafu na fedha kwa ajili ya malipo na kurahisisha usimamizi wa fedha za kigeni na benki katika Jamhuri ya Muunagno wa Tanzania, liliingizwa.
     Kufuatia kuundwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1967, mambo matatu ya Muungano yaliyongezwa, ambayo ni leseni za viwanda na takwimu; elimu ya juu; na usafirishaji wa anga.
     Mwaka 1968, mambo ya maliasili ya mafuta, pamoja na mafuta yasiyochujwa ya magari na ama ya petroli na aina nyingine za mafuta au bidhaa na gesi asilia yaliyongezwa kwenye orodha hiyo.
Aidha mambo ya Muungano yaliendelea kuongezeka hadi kufikia 21 kufuatia kuvunjika kwa iliyokuwa  Jumuiya ya Afrika Mashariki.
     Mwaka 1992 kufuatia mabadiliko ya mfumo wa siasa nchini suala la 22 la uandikishaji wa vyama vya siasa na mambo mengine yanayohusiana navyo liliongezwa kwenye orodha hiyo.
      MJADALA KUHUSU MUUNGANO
Katika miaka hivi karibuni kumekuwa na mijadala mbalimbali kuhusiana na muundo wa Muungano, baadhi wakitaka uwe wa zaidi ya serikali mbili, wengine serikali moja, wapo wanaotaka Tanganyika iwe kivyake na Zanzibar kivyake.
      Hata hivyo hekima inaonyesha kwamba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unabaki kuwa ni fahari ya Watanzania, kwani mwelekeo wa dunia katika nyanja mbalimbali, mataifa kuungana kwa ushirikiano wa aina mbalimbali ni muhimu kuliko taifa moja kupambana kivyake.
      Urejeaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya kuvunjika mwaka 1977, uwepo wa SADC, ECOWAS, COMESA, na jumuiya nyingine nyingi duniani kote, ni vielelezo kwamba ushirikiano baina ya mataifa ni suala lisilohitaji mjadala.
       Ieleweke kwamba hakuna ushirikiano usio kuwa na matatizo kama ilivyo kwa Muungano wa Tanzania, vivyo hivyo muungano mwingine kama vile ya United Kingdom (UK), Uingereza na United States of America (USA) kwa maana ya Marekani na United Arabs Emirate (UAE), nayo ina matatizo, lakini hata mara moja mjadala juu ya matatizo hayo siyo kuvunja ushirikiano bali kutatua na wale wanaotaka kuvunja hushughulikiwa ipasavyo.
      "Matatizo ya Muungano kama wa UK ni mabaya zaidi, na hata UAE hawana ahueni, ila wanajua kwamba Muungano wao ni lazima. Wamarekani wanapambana na watu wenye mawazo haya ya kuvunja miungano kwenye majimbo ya Alaska, Hawaii na Texas na mwishowe wameamua kuweka kambi kubwa ya jeshi la nchi kavu Texas; utitiri wa kambi za anga Alaska; na vituo vikubwa kupindukia vya majini kule Hawaii. Hivi, hawa mabingwa wa demokrasia wanapoamua kulinda nchi yao namna hii, unafikiri ni wajinga? Walimwaga damu na waliyanunua majimbo haya na wamepitia shida kubwa, ndiyo maana leo wanajidai," anaandika mchangiaji katika mjadala kuhusu Muungano.
        Ni vyema Watanzania wakati huu wa kusheherekea miaka 48 ya Muungano, kila mmoja akajisikia ufahari wa kuwa na kitu kizuri kilichoasisiwa na Waafrika wenyewe na kudumu kwa umri huo.         Mawazo ya kubaguana kwa sababu zisizo na msingi, pengine kukidhi matakwa na wakati kama vile ya kibinafsi na kisiasa, yasipewe nafasi kuisambaratisha nchi. Chambilecho wahenga, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

thanks god

 Here's to another year full of experiences, joy, happiness, surprises and good luck. May ahazi
have a smashing Birthday. 

Thursday, April 25, 2013

happy birthday AHAZI


I’m so thankful for all friends and me,
who were born on this day some years ago,
because that my friends and me grew up to be,
one of the best and most awesome people on this earth!
Happy birthday and have an awesome time on your special day!

Wednesday, April 24, 2013

OK

OK

"NIMEAMBUKIZA UKIMWI MAELFU YA WATU JIJINI DAR"... JANE WA MWENGE



Mimi ni Jane naishi mwenge Dar es salaam naomba utalifuta jina la baba yangu maana sitaki liwe kwenye blog watu watanijua na kuniangamiza maana nimeshawaangamiza wengi sana kwa UKIMWI ila mengine yote usifute hata moja ili dunia ijue tu japokua mimi nitakufa kwa huu ukimwi nilionao.
Nilizaliwa mkoa wa Dodoma na nilishi vizuri tu tangu utotoni na hata sikujihusisha na ngono hadi nilipomaliza form 4 mwaka 2006 baada ya kumaliza nilikuja hapa Dar kuishi kwa mama mdogo aliyeolewa hapa Mwenge.
Nilipata marafiki wengi tu na kuna kijana mmoja alinitongoza kwa muda mrefu sana na siunajua vijana wengi hutumia muda mrefu kutongoza ili msichana unadhani kwamba labda huyo anakupenda kumbe anataka tu ngono na wadada wengi sana hudhani kufuatiliwa kwa muda mrefu na mvulana basi huyo yuko serious kumbe hakuna lolote.
Nilimkubalia tukawa wapenzi ila nilikataa kuhusu kufanya mapenzi maana anayekupenda kiukweli sio uongo lazima asitake ngono kabla ya ndoa.
Kwa miezi kama 5 hadi 6 aliniambia kuhusu kufanya mapenzi nilikataa alitumia mbinu nyingi sana kwa kunibembeleza na hata kulia mbele yangu ili tufanye tu mara moja ila nilikataa, alisema atavumilia hadi siku ya ndoa yetu ambapo tulipanga kuoana mwaka sept 2009.
Siku moja aliniambia twende kwenye kumbi za starehe na mimi kwa sababu ya upagani na kumwamini pia kwa sababu nampenda nilikubali tulienda huko na kulikua na bendi fulani maarufu ya mziki wa dansi ilikua inatumbuiza.
Tulitafuta sehemu na kukaa na mpenzi wangu akaagiza pombe alianza kunywa huku akinionjesha, nilikataa kwa sababu nilikua sijawahi kunywa pombe katika maisha yangu yote, hata sijui alinishawishi vipi nilijikuta nakunywa kidogo kidogo na kwa kuwa tulikaa pale kwa muda zaidi ya masaa 5 nadhani nikunywa kama bia 3 au 4 japokua nilikua nakunywa kidogo kidogo tu tena kwa kunywesha na mpenzi wangu maana nikama nikua nanyweshwa kila baada kama ya dakika 25 ndipo nakunywa mara moja na sikujuia kama nakunywa pombe ila niliihisi tu naonja ili kumlizisha mpenzi wangu.
Ilipofika saa 10 alfajiri nilihisi usingizi na pia nilijiona wa tofauti najua nililewa hata kama sikujua kama nimelewa maana nakumbuka tulitoka pale huku amenishika mkono huyo mpenzi wangu. Tulikodo tax na kuondoka na siku hiyo aliniambia twende kwake alikokua amepanga chumba maana tulikua na usingizi sana nilikubali huku nikidhani hatuwezi kufanya mapenzi.
Tulifika salama na kuingia ndani ukweli pombe ni kichocheo cha ngono na ningekua mimi ndio Raisi wa Tanzania ningefunga bar zote. Nilijikuta natamani kufanya mapenzi na huyu mpenzi wangu hata alikua hana nia maana alijua atanichukiza sana na uhusiano ungekufa siku hiyo lakini kwa sababu ya pombe nilimwambia siku hiyo tufanye kidogo maana mwili wangu unataka.
Ni kweli siku hiyo kwa sababu ya pombe nilifanya mapenzi na huyo mpenzi wangu na baadae akanipeleka nyumbani baada ya wiki mbili maana tulikaa wiki mbili bila kuonana alikuja na kunieleza habari ambayo sikuihitaji katika maisha yangu maana nilikua nasikia tu kwa watu wengine lakini sio kwangu alisema ”JANE ISHI KWA MATUMAINI KUANZIA SASA”
Nilidhani utani lakini aliniambia kuwa yeye ana UKIMWI tangu miaka mitano iliyopita na anapenda tu ngono maana hawezi kuacha.
Nililia sana na baada ya wiki moja baadae nikaenda kupima na kukutwa nina ugojwa ambao niliusikia tu kwa watu na chanzo cha yote ni pombe, kupenda starehe,disko na upagani unaotusumbua wanadamu wengi.
Nilikua na UKIMWI na kwa hasira maana mpenzi wangu alihamia Arusha huku akisema neno moja la mwisho kwamba ”shetani amemtuma kuwaambukiza wanadamu UKIMWI”
Sikujua, sikujua, sikujua, sikujuaaaaaaaaa, basi tu ooh YESU nihurumie mimi leo.Nilibebeshwa mzigo ambao haukunistahili mimi. Hata leo hua najiuliza kwamba nilijitunza kwa miaka 23 yote lakini pombe na huyu wakala wa shetani wamenifanyia hivi. Baada ya kujua nina UKIMWI na hali hiyo nikaikubali na kulikua na kundi kubwa sana la wanaume ambao walikua wamewahi kunitongoja na niliwakataa sana kwa sababu hii niliwakubali ili nami nife na wengi.
Nilianza kumkubali kila mmoja na kuna baba mmoja ambaye ana wake 3 niliwahi kumtukana sana kipindi cha nyuma kila aliponitongoza lakini wakati huu nilimkubali na hakuamini na tukafanya ngono tena bila kinga na akaniaachia pesa laki 6 kama zawadi ya kumkubali kumbe naye hakujua kuwa namwambukiza na hata leo hua nawahurumia tu wale wake zake ambao wana UKIMWI uliotoka kwangu.
Kiukweli tangu may 2009 hadi 2012 nimeshatembea na wanaume zaidi 1500 maana ilifika kipindi nala na wanaume 3 kwa siku na lengo langu niwakomeshe kama mimi nilivyokomeshwa na nina uhakika kutokana na mimi wameambukizwa UKIMWI wanadamu zaidi ya 10,000 na hili tangazo la ”TUKO WANGAPI” huwa linaniliza kila siku maana hata mimi najua kabisa nilianzisha mtandao kama huo wa ngono kwa idadi kubwa sana ya watu.
Nimeokoka miezi 7 iliyopita na siku naombewa nilikutwa na mapepo mengi sana na hata waombeaji wakashangaa. Ningejua ningeokoka tangu nikiwa na miaka 5 lakini ndio hivyo sina jinsi wala uwezo wa kubadirisha hali hiyo.
Na naomba kila atakayesoma ujumbe huu ajue kuanzia leo kuwa pombe ni dhambi pia kwenda disko ni dhambi,kuuza pombe ni dhambi na kila kichochoe chochote cha dhambi ni dhambi. Hadi sasa mtu yeyote hawezi kujua kama nina UKIMWI na sijui MUNGU ana mpango gani na mimi maana kwake yote yanawezekana. Nauamini uponyaji wake na sijawahi kutumia ARV hata siku moja na afya yangu iko sawa tu na huwezi hata wewe kujua kama uovu huu nimefanya mimi.
Ndugu zangu kama una UKIMWI nenda kanisani ukaombewe na kama una akili mpe YESU maisha yako maana pia baada ya kifo ni hukumu. Yasalimishe maisha yako kwa YESU na usiambukize wengine tena.
Mimi tangu niokoke sijawahi kufanya mapenzi tena na sitafanya hivyo wala sitaolewa na mtu yeyote maana yatosha kwa uovu niliofanya na hadi sasa wapo ninaowajua zaidi ya 15 wameshafariki na nilihudhulia misibani huku nikijua kabisa chanzo ni mimi.
Mwisho nawashauli wababa kulidhika na wake zao na wamama pia lidhikeni na waume zenu, vijana ambao hamjaoa wala kuolewa subiri hadi utakapooa au kuolewa na kabla ya kuolewa au kuoa kapimeni kwanza kwani wenye UKIMWI ni wengi kuliko unavyozani.
Fuata unachofundishwa kanisani na pia soma BIBLIA na uwe mtakatifu.
MUNGU akubariki

CHANGUA YUPI MKALI


Tuesday, April 23, 2013

PICHA NA STORY KAMILI KUHUSU JAMAA WALIOKAMATWA WAKIFANYA UZINZI NDANI YA GARI UTAZIPATA HAPA



KUFUATIA vitendo vya usaliti wa ndoa, uasherati, ufuska na ukiukwaji wa maadili ya Kitanzania kwa wanandoa, wiki iliyopita Ijumaa liliendelea na Operesheni Fichua Maovu kwa kuzunguka jijini Dar usiku wa manane na kunasa tukio la mke wa mtu akifanya uzinzi ndani ya gari.
Mke wa mtu alivyonaswa na njemba wakifanya uzinzi kwenye gari.
KINONDONI YAONGOZA
Kabla ya kufanya operesheni hiyo, gazeti hili liliambiwa kwamba Wilaya ya Kinondoni jijini Dar ndiyo inayoongoza kwa wake na waume  za watu kufanya vitendo vya ngono kwenye magari.
Maeneo yaliyodaiwa kwamba wazinzi hao hupenda kuyatumia ni Coco Beach, Leaders Club, Mlimani City na sehemu kubwa ya vitongoji vya Sinza na Mwenge, Dar.
...Jamaa akijaribu kuvaa nguo baada ya kunaswa.
WAMO WASANII
Mbali na waume na wake za watu, wengine wanaotajwa kufanya vitendo vya ngono ndani ya magari ni mastaa wakubwa ambao wanaogopa kwenda kukodi vyumba mahotelini na gesti wakihofia watajulikana kutokana na umaarufu wao.
IJUMAA MZIGONI
Kwa muda wa wiki nzima, timu ya Ijumaa ilikuwa barabarani kwa ajili ya opresheni hiyo ya kufichua uovu huo.
...Wakiwa na aibu baada ya kukutwa ndani ya gari.
JUMATATU, APRILI MOSI
Jumatatu ya Aprili Mosi, mwaka huu, waandishi wa Ijumaa walianza mchakato wa kutembelea vitongoji walivyoezwa kwamba, watu hususan wake na waume za watu hupenda kuvitumia kufanyia ufuska.
COCO BEACH
Waandishi wetu walitinga kwenye Ufukwe wa Coco uliopo Oysterbay, Dar ambako walishuhudia wasichana wengi waliokuwa wakifanya biashara ya kujiuza ‘machangudoa’ katika viunga hivyo.
Mbali na wasichana hao, pia kulikuwa na vibaka wengi waliokuwa wakiwalinda machangudoa hao ili wasipate matatizo.
Pia, wanaume wengi walikuwa wakifika na wanawake ndani ya magari yao na kupozi kwenye maegesho, wengi wao hawakuonekana kama ni watu na wake zao.
...Mwanamke akivaa nguo yake ya ndani.
USALAMA MDOGO
Hata hivyo, Ijumaa lilibaini kwamba magari mengi yanayotumiwa katika eneo hilo ni yale yenye vyoo vyeusi ‘tinted’ hivyo ni vigumu kujua kinachoendelea ndani yake.
Kwa ujanja, Ijumaa lilibaini kwamba ‘pea’ nyingine zilikuwa zikifanya vitendo vya ‘kudendeka’ na wengine kufika mbali zaidi lakini Ijumaa lilishindwa kuwavaa kutokana na usalama mdogo katika eneo hilo.
...Mwanaume naye akivaa pensi yake baada ya aibu hiyo.
SAA 8:05 USIKU, LEADERS CLUB
Ijumaa lilihamishia mtego wake Leaders Club, Kinondoni mida ya saa 8:05, baada ya kupiga misele ya hapa na waandishi walifanikiwa kumbamba mmoja wa wazinzi.
AWATOROKA WAANDISHI
Waandishi walitulia baada ya kuliona gari aina ya Toyota Land Cruiser (namba tunazo) likiwa katika eneo la maficho nje ya viwanja hivyo.
Gari hilo lilikuwa likitikisika kuonesha kwamba mchezo ulikuwa ukiendelea ndani yake.
Wakati waandishi wakijipanga kulivamia, ghafla waliokuwa ndani walishtuka na kupozi kwa muda.
Hata walipoachiwa ili waendelee, machale yaliwacheza na kuwasha gari kisha kuondoka kwa kasi.
...Akivaa suruali.
JUMATATU HADI JUMAPILI
Pamoja na kulikosakosa tukio hilo, waandishi hawakukata tamaa, kuanzia Jumatatu hadi Jumapili waliendelea na utaratibu wa kutembelea viwanja husika.
KABAANG!
Jumapili iliyopita baada ya kutembelea viwanja vyote kusaka ‘wahalifu hao’, hatimaye mtego ulinasa ‘kabaang!’.
...Wakiwa wamepigwa butwaa ndani ya gari.
APRILI 7, JUMAPILI SAA 9:20 USIKU
‘Patroo’ ikiwa kazini maeneo ya Mwenge, Dar jirani kabisa na hoteli moja inayopata umaarufu mkubwa siku za hivi karibu, ghafla gari aina ya Toyota Corona likiwa limepaki kwenye eneo la giza, chini ya mti lilikuwa likitikisika kuonesha kwamba kulikuwa na watu waliokuwa wakifanya ngono.
Safari hii, bila kufanya makosa, waandishi wetu waliwasogelea ambapo na wao hawakuonekana kujali wapita njia....

Saturday, April 20, 2013

it is true girl love her teaher


  I am only 15 but I have fallen in love with a man of 30 and I am not sure whether he likes me.
I have never had a boyfriend before and this man is really special. The trouble is that he is one of my teachers and he is married with two children. His wife is a teacher too - at my little sister’s school - and she’s very pretty and really nice.
Every time I go into his class I get a funny feeling in my stomach. I keep looking at him and I can’t take in anything he is teaching us. I know that if my grades fall, I shall be moved into a lower group. I don’t want that because it means that I would not see him any more.
I think about him all the time and I dream about what it would be like to be with him, although I know this is never going to happen.
I have spoken to my best friend how I feel and she just told me not to worry about it. That made me feel a bit better about it but it didn’t stop how I feel about him.
I don’t know what to do about it though, because I feel very insecure when I am around him.

Dear Readers: I Cheated On My Fiance With My First Love. Now I'm Confused


  My wedding is slated for this year. The invitations are already out and everything has been booked. We have even paid for the venue.
Until last month, everything was going well for me. I honestly thought I loved my husband-to-be with all my heart and no man could ever come between us. But how wrong the projection of my life is turning out to be. A chance meeting with my first love after about 16 years is what is threatening my well-planned life.
I honestly didn’t plan for this to happen but every woman who has been in love before knows what it feels like to meet the first man in her life after a long time of separation. Though he left me for my best friend, at the time we met, all those details didn’t matter. One thing led to another and we ended up in bed. It brought back all the wonderful memories of all those wonderful times we had before my friend came between us.
I discovered that he is divorced after two children with my friend who according to him now lives in England. According to him, he decided to come home after being away for such a long time to attend to his father’s business. He wants us to begin again. He has apologised to me and I am tempted to take him back because I feel good being with him. I haven’t told anyone about him because I know nobody will ever support me.
I am 38 and have been so lucky to find my current boyfriend who is 45 and widowed. He has been my pillar of support and truly shows extra-ordinary love and kindness towards me and my family. But this is about my love life; my happiness. I am so confused about what is happening to me. My current relationship is three years old while my first love and I go back a long way.
Please help me because I don’t know how to tackle what I feel for my first love.

The Harder I Work, The More My Wife Cheats


  I am a 47-year-old male, married for 26 years. I am hopelessly in love with my wife and still see her as the most beautiful woman in the world.
I have always been self-employed and have sometimes been at the extremes of feast or famine. During the bad times, I often worked 110-plus-hour weeks to save the ship.

Each time things have gotten really bad, my wife has had an affair to make up for the time, money and attention I can't provide her. I found out about her latest affair (her third) when I found a secret cellphone in her purse. For the last eight months, when she visited our daughter at college, she would check into a hotel with her lover.

I feel responsible for failing to meet her needs. She doesn't want a divorce, but admits she doubts she will ever fully stop dating, and says the effort she puts into deceiving me is proof she loves me and doesn't want to hurt my feelings.

I am amazed at the number of men willing to have sex with a married woman. My heart is broken, and I feel like a failure. Am I a fool to keep fighting for her?

dogo noma

Baba-mwanangu nimekuambia uache bhang hutaki xaxa leo nataka nikumwagie radii mtoto-kwahyo mshua unataka kunivulia nguo au siyo baba-enhe nataka nikuvulie nguo mtoto-we we we we we we we we we vua kama sijakufila hadharan peupeee peee unataka kuniletea ushoga

My Sister Wants To Snatch My Boyfriend


  I'm a in serious dilemma right now and it has to do with my boyfriend. I'm presently dating a very sweet and cute guy, who works in an oil company.
My boyfriend loves me so much, and I also love him dearly. We're not a perfect couple though, but we're always able to handle/resolve our differences maturely.

And the success of our relationship is making my friends to be envious of me. Because they've been in and out of several relationship, and are presently sober and desperate for love, and to make the matter worse, my younger sister who just broke up with her guy, is also eying my boyfriend.

Now, it's me against them. They want my fine, rich and loving boyfriend, and are hell bent on snatching him from me.
What should I do?

Saturday, April 13, 2013

hoi

Bwege katoroka kazini wkt boss hayupo ofcn, akaenda home kwake akamkuta boss wake kalala na mke wake, akarudi fasta kazin akamwambia mwenzake, 'duh nimemkuta boss hom kalala na mke wangu ila nashkru hajaniona nimenyata nikarudi maana angejua km nilitoroka kazn ingekuwa msala!

hoi

Bwege katoroka kazini wkt boss hayupo ofcn, akaenda home kwake akamkuta boss wake kalala na mke wake, akarudi fasta kazin akamwambia mwenzake, 'duh nimemkuta boss hom kalala na mke wangu ila nashkru hajaniona nimenyata nikarudi maana angejua km nilitoroka kazn ingekuwa msala!

A woman and her son have done the unthinkable – they have fallen in love with one another. And now they want to marry since the mom, Betty Mbereko is six months pregnant and expecting a child for her son.
“Look, I strove alone to send my son to school and no one helped me. Now you see that my son is working and you accuse me of doing something wrong. Let me enjoy the products of my sweat,” the woman boasted before local authorities.

Mbereko (40), from Mwenezi in Masvingo, who was widowed 12 years ago, has been cohabiting with her first child, Farai Mbereko (23). She confirms that she is six months pregnant and that she has decided it is better to

Betty stunned a village court last week when she said the affair with her son had begun three years earlier. She said after spending a lot of money sending Farai to school following the death of her husband, she felt she had a right to his money and no other woman was entitled to it.

Farai said he was more than prepared to marry his mother and would pay off the ilobola balance his father had left unpaid to his grandparents. “I know my father died before he finished paying the bride price and I am prepared to pay it off,” he said.

“It is better to publicize what is happening because people should know that I am the one who made my mother pregnant. Otherwise they will accuse her of promiscuity.”

But local headman Nathan Muputirwa says: “We cannot allow this to happen in our village, this is a bad omen indeed. In the past they would have to be killed but today we cannot do it because we are afraid of the police.” He warned them to break off their marriage or leave the village immediately.

Funny enough, the mother and son chose the advice and have left the village for an unknown destination.
“marry” her son because she does not want to marry her late husband’s young brothers, whom she says are coveting her.