AHAZI

AHAZI

Thursday, April 14, 2016

Cheka kidogo

Jamaa Mmoja Alikuwa Safarini Gari
Likamharibikia Kijijini Akaomba Hifadhi
Akakaribishwa Baada Ya Kuoga Na Kula.
Mzee: Sasa Sijui Huyu Mgeni Atalala Wapi?
Mke: Sa Hizi Ni Usiku Akalale Na Bebi.
Jamaa Akaona Huyu Bebi Pengine Ni Mtoto
Anakojoa Kitandani Au Akalia Asije
Akamsumbua Usiku.
Jamaa: Msipate Tabu Mi Nitalala Hapa Kwenye
Kochi.
Akalala, Asubuhi Wakawa Wanakunywa Chai
Akaibuka Mrembo, Jamaa Akapigwa Mshangao
Nusu Ajimwagie Chai.
Binti: Naitwa Bebi We Unaitwa Nani?
Jamaa Akasema " Mi Naitwa Fala😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆



aPosted via Blogaway

Tuesday, April 12, 2016

JKT

TANGAZO

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, anawatangazia vijana wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea kwa mwaka 2016.

Barua zilizoainisha sifa za kijana kujiunga na mafunzo ya JKT zimetumwa kwa Waheshimiwa Wakuu wa mikoa. Mchakato wa zoezi la kuwapata vijana wenye sifa unaanza Aprili 2016 hadi tarehe 20 Mei 2016.

Sifa za mwombaji ni kama zifuatazo:-

1. Awe raia halisi wa Tanzania.

2. Umri. Kwa vijana wenye elimu ya Darasa la saba hadi kidato cha sita ni miaka 18 hadi 23.Vijana wenye elimu ya Stashahada umri ni miaka 18 hadi 26 na Vijana wenye elimu ya Shahada na kuendelea umri ni miaka 18 hadi 30.

3. Awe na afya njema, akili timamu.

4. Asiwe na alama yeyote ya michoro mwilini (Tattoo).

5. Mwenye tabia nzuri, hajapatikana na hatia Mahakamani na hajawahi kufungwa.

6. Kwa vijana waliomaliza elimu ya Sekondari kidato cha nne wawe waliomaliza kuanzia mwaka 2010, 2011, 2012, 2013 na 2014 wenye ufaulu ufuatao:-

      (a) Waliomaliza 2010 hadi 2012 wawe wamefaulu na wawe na alama (Points) zisizopungua 32.

      (b) Waliomaliza 2013 wawe wamefaulu na wawe na alama (Points) zisizopungua 38.

      (c) Waliomaliza 2014 wawe wamefaulu na wawe na GPA isiyopungua 0.6.

7. Awe na elimu ya msingi aliyehitimu darasa la saba.

8. Awe na cheti halisi cha kuzaliwa (Original Birth Certificate).

9. Awe na cheti halisi cha kumaliza shule (School Leaving Certificate)

10. Awe na cheti halisi cha matokeo (Original Academic Certificate/Transcript).

11. Asiwe ametumikia Jeshi la Polisi, Magereza, Chuo cha Mafunzo au KMKM wala kuajiriwa na Idara nyingine Serikalini.

12. Asiwe amepitia JKT Operesheni za nyuma.

13. Asiwe amejihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya, bangi na yanayofanana na hayo..

Waombaji wenye sifa wapeleke maombi yao kwa Waheshimiwa wakuu wa mikoa.

Makao Makuu ya JKT hayatapokea na hayapokei maombi yoyote, kwa vijana watakaoomba nafasi hizo wazingatie maelekezo yatakayotolewa kuepuka usumbufu.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Habari na Uhusiano

Makao Makuu ya JKT

Tarehe 05 Aprili 2016

Source
http://www.jkt.go.tz/component/k2/item/631-taarifa-kwa-umma.html



aPosted via Blogaway

Friday, April 8, 2016

Je unaukumbuka wimbo huu

1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani.

2. Akatamka mgonjwa,
ninaumwa kwelikweli,
Hata kama nikichanjwa,
haitoki homa kali,
Roho naona yachinjwa,
kifo kimenikabili,
Semeni niseme nini,
kiwafae maishani.

3. Yakawatoka kinywani,
maneno yenye akili,
Baba yetu wa thamani,
sisi tunataka mali,
Urithi tunatamani,
mali yetu ya halali,
Sema iko wapi mali,
itufae maishani

4. Baba aliye kufani,
akajibu lile swali,
Ninakufa maskini,
baba yenu sina hali,
Neno moja lishikeni,
kama mnataka mali,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

5. Wakazidi kumchimba,
baba mwenye homa kali,
Baba yetu watufumba,
hatujui fumbo hili,
akili zetu nyembamba,
hazijajua methali,
Kama tunataka mali,
tutapataje shambani?

6. Kwanza shirikianeni,
nawapa hiyo kauli,
Fanyeni kazi shambani,
mwisho mtapata mali,
haya sasa buriani,
kifo kimeniwasili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

7. Alipokwisha kutaja,
fumbo hili la akili,
Mauti nayo yakaja,
roho ikaacha mwili,
Na watoto kwa umoja,
wakakumbuka kauli,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

8. Fumbo wakatafakari,
watoto wale wawili,
wakakata na shauri,
baada ya siku mbili,
wote wakawa tayari,
pori nene kukabili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

9. Wakazipanda shambani,
mbegu nyingi mbalimbali,
tangu zile za mibuni,
hadi zitupazo wali,
na mvua ikaja chini,
wakaona na dalili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

10. Shamba wakapalilia,
bila kupata ajali,
Mavuno yakawajia,
wakafaidi ugali,
Wote wakashangilia,
wakakumbuka kauli,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

11. Wakanunua na ng'ombe,
majike kwa mafahali,
wakapata na vikombe,
mashine na baiskeli,
Hawakuitaka pombe,
sababu pombe si mali,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

12. Wakaongeza mazao,
na nyumba za matofali,
Pale penye shamba lao,
wakaihubiri mali,
Wakakiweka kibao,
wakaandika kauli...

"KAMA MNATAKA MALI
MTAIPATA SHAMBANI".
🚶🚶🚶🚶🚶🚶

Miaka hiyo tuliimba tu kama kujifurahisha wala hatukujua maana yake, leo twatambua nini maana yake, nasisitiza, kama mnataka mali mtaipata shambani



aPosted via Blogaway

Wednesday, March 30, 2016

Duuu

KUNYONYA MAZIWA.mara nyingi maziwa ni sehemu ambayo huwa na hisia sana kwa mwanamke endapo itanyonywa vizuri,wengi hawajui namna ya kunyonya maziwa ya mwanamke na kama utainyonya vizuri itatosha kumrdhisha mwanamke bila ya kumtomba.zifuaazo ni dondoo muhimu wakat unamnyonya mwanamke maziwa 1.anza kwa kuliramba titi lotee uku unalipaka mate taratibuu,kama una ulimi mrefu kama mimi bas ni fursa nzitoo na nzuri kuugusisha ulimi wako katika kila kona ya ziwa,hapo utamuona mwananmke anaanza kujinyonga nyonga kwa rahaaa 2.lishike ziwa kwa mkono wako na hapo anza kunyonya sehemu ya juuu ya maungio ya mwili na ziwa,hiyo ni sehemu ambayo iko na nyege sana na hapo pekee panatosha kumkojza mwanamke ikiwa utatumia ulimi wako vizuri 3.lishike ziwa tena na linyonye ktk sehem ya chini ambayo ni kama uvungu wa ziwa,hapo ni sehem ambayo nerves zimepita kwa hio ukiwa unamnyonya utaona mwanamke anatoa ute ktk kuma ishara ya kuwa yuko tayari kupokea mboo. 4.CHUCHU,hii ndiyo sehemu kuu ya ziwa.kwanza hapa ina inyonyaji wa aina tatu moja,kwanza irambe kwa utaratibi huku kama vile unaimung'unya kama pipi hapo pekee itatosha kumtoa mwanamke mkojo mbili,ifanye kama unataka kuing'ata chuchu ya ziwa la mwanamke huku unabinya binya ziwa la upande mwengine kwa ustadi mkubwa tatu,ile chuchu ifanye km vile unairamba kama koni huku unamsugua ttartibuuu katika ziwz jengine jambo kubwa jengine ni nanmna ya kuichezea chuchu kwa mkono,hapo utafanya ifuatavyo.pakaza mate vidole vya mkono wako halafu isugue chuchu kwa madahaa hapo huyo mwanamke ni llazima atafurahia mapenz yako MHHHH MAELEZO ZAIDI NJOO INBOX
Kujua Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Kwa Haraka: BONYZA HPA CHNI



Kujua Sehemu 10 Zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, BONYZA HAP 1UU

BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK!



Je wewe una mtaji wa Ths.455,000/= au 910,000?..njoo ujiunge biashara ya Forever Living ya Marekani ufanikiwe kupata faida hadi 3,000,000 kwa mwezi...piga 0713 700037 au 0784 778788
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

UMEZISOMA HIZI HAPA CHINI .???


JUA HUU UFUNDI KATIKA KUNYONYANA ND...

WAKUBWA TU...TOFAUTI ZA UTAMU WA TE...

MAHABA,,WAKUBWA TU UKIMFANYIA HIVI ...

ONA HIZI PICHA NA STORY KAMILI KUHU...

MWANAUME, WAOGOPE WANAWAKE WA NAMNA...

HAYA NDIO MANENO MATAMU YA KIMAHABA...

KIZAZI CHA WANAUME WAHONGAJI CHAPOT...

Mwanamke Mzuri wa Sura, Umbo Zuri a...

NIMEKARIBIA KUFUNGA NDOA NA NILIMDA...

Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Akupeze ...

Jinsi Ya Kuapproach Mwanamke Ambaye...

STYLE ZA KUPEANA RAHA.......IPI NI ...
Filed Under: MAHABA NA UTAMU
CodeNirvana

POPULAR POSTS

JINSI YA KUZUIA KUMWAGA MAPEMA KWA WANAUME
Mapema kumwaga kumwaga mapema ni tatizo afya ya uzazi wa kiume ambao huathiri hadi milioni 50 kwa watu wa Marekani. kumwaga mapema hu...

KUKOJOA KWA MWANAMKE NDO KUKO HIVI ....SOMA HAPA NIKUJUZE
"Mimi ni mwanamke wa miaka 30 tatizo kubwa linalonitatiza ni kuwa wakati wa kufanya mapenzi na mr. Nitajuaje kama nami pia nimekojoa??n...

KAMA WEWE NI RIJALI KWELI HEBU INGIA HAPA, USIPOVIMBISHA SURUALI JIPANGEE!!
Kweli kuna watu wameumbwa, huyu ni mwanadada Keyshia. Alisababisha mpiga picha aliyekuwa anampiga picha azimie kutokana na presha aliyoipata...

KUMBE HIZI NDIZO SABABU WANAWAKE WANAPENDA KULIWA NYUMA BADALA YA...., WANADAI KUNA RAHA ZAIDI..WASIKIE HAPA
Tunapoamua kufanya jambo sio kwamba tunafuata mkumbo au kulazimishwa bali ni our choice Kufanya ng0no kusiko a.k.a 0713 “MWIKO” katika jami...
JINSI YA KUMKUNJA MWANAMKE ASIKUSAHAU KWENYE TENDO LA NDOA
Hii ni kwa wanaume ambao wanapenda kuwafurahisha wapenzi wao wawapo faragha. Ukifanya hivi nakwambia mwanamke hatakuacha hata umfukuze hata...

ANGALIA USIACHWE!! MBINU ZA KUAMSHA NGUVU ZA KIUME, PALE 'DUDU' INAPOGOMA KUSIMAMA
Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofanywa mwaka 2013 na shirika la Afya dunian...

HII NDIYO STAILI TAMU INAYOWAKOJOLESHA MAELFU YA WANAWAKE BILA KUJIZUIA.
Jinsi Ya Kujipanga: Mwanamke alale chali(uso,matiti na kila kitu viangalie juu),kisha Mwanaume apige magoti mbele yake,baada ya hapo,mwanam...

NAMNA YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE..!!
Muda au Pesa Nyingi!" Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu. Kuna sanaa zingine za u...

UKIONA HIZI PICHA ZA HUYU MWANAFUNZI ALIVYOANIKA UCHI WAKE, UTAZIMIA!!!
Hii sio mara ya kwanza kwa wanafunzi wakike kujipiga picha za utupu na kuzitupia kwenye mitandao ya kijamii kama FESIBUKU, WASAPU na mingine...

JIFUNZE ...................NAMNA YA KUNYONYA MAZIWA MPAKA DEMU AKOJOE
KUNYONYA MAZIWA.mara nyingi maziwa ni sehemu ambayo huwa na hisia sana kwa mwanamke endapo itanyonywa vizuri,wengi hawajui namna ya kunyonya...
WASOMAJI WETU WOTE HADI LEO
1470281
LABELS
KIMATAIFA KITAIFA MAGAZETI MAHABA NA UTAMU MASTAA NA VITUKO MATUKIO UCHUMI
MY BLOG LIST



aPosted via Blogaway

Sunday, March 27, 2016

Easter

Easter is Resurrection Sunday , is a festival and
holiday celebrating the resurrection of Jesus
Christ from the dead, described in the New
Testament as having occurred on the third
day of his burial after his crucifixion by
Romans at Calvary , It is the
culmination of the Passion of Christ , preceded
by Lent (or Great Lent), a forty-day period of
fasting , prayer, and penance .
The week before Easter is called Holy Week ,
and it contains the days of the Easter
Triduum , including Maundy Thursday,
commemorating the Maundy and Last Supper ,
as well as Good Friday, commemorating
the crucifixion and death of Jesus .  In
western Christianity, Eastertide , the Easter
Season, begins on Easter Sunday and lasts
seven weeks, ending with the coming of the
fiftieth day, Pentecost Sunday . In Orthodoxy,
the season of Pascha begins on Pascha and
ends with the coming of the fortieth day, OK have a nice cerebration of ester in love and peace.



aPosted via Blogaway

Sunday, February 14, 2016

Sunday bet win

Lyon -
Caen
1.41 Lyon Win Feb 14,
2016 -
4:00 pm
Sevilla -
Las
Palmas
1.28 Sevilla Win Feb 14,
2016 -
6:00 pm
Barcelona
- Celta
Vigo
1.04 Barcelona
Win Feb 14,
2016 -
10:30 pm
Groningen
- Ajax
1.70 Groningen
Lose
Feb 14,
2016 -


Saturday, April 25, 2015

Happy birthday AHAZI J

It is another good day for me; I'm so happy to see again for this day oh my god bless me and add another years of life as well as better life. Peace and love to my family, relative, friends,coworkers and all my mates , have nice celebration of union day of Tanzania 26 April.

Hop very good day waooooo ahaz


Posted via Blogaway

Sunday, March 29, 2015

Rip my beloved aunt

I thank for your good heart you have a day you receive us at mpemba a junction to Ireje and tunduma you treat us as your son we love you but god you so much rest in peace 29/03/2015 by ahaz


Posted via Blogaway

Sunday, March 8, 2015

Women's day

Why this day
1. We get to give birth. Yes, it hurts like hell
and totally mashes up your vajayjay, but
it’s still the most amazing miracle in all
humanity.
2. We instinctively know how to be strong
whilst simultaneously being kind. You
know that tough love thing we do? It’s a
real gift.
3. We have boobs, and boobs are clearly
the best body part. No contest.
4. We have the bestest friends. Good
girlfriends are like family. In fact, they’re
better than family, because they’ll support
and justify all your life decisions, even the
ones your parents and siblings despair at.
5. We smell nice. Even when we’ve been
sweating it out at the gym and our
deodorant has totally let us down, we still
smell better than men.
6. We’re on the up. Government statistics
show that women now account for 20.7% of
board positions in the FTSE100 – up from
12.5% in 2011. Go us!
7. Men don’t fully understand us, so we
remain an alluring mystery *do doo do
doo*
8. When it comes to fashion we totally win.
Whereas boys are stuck with trousers or,
well, shorts (which are just trousers with
less leg, so whatevs), we get skirts and
dresses, ball gowns and leggings, and
even culottes – an amazing hybrid of all of
the above.
9. Nail art. Need we say more?
10. Periods. Actually, scrap that. Periods
have no redeeming qualities AT ALL.
Moving on…
11. We get to wear makeup. Like, just
imagine having to leave your house on
your most hungover, spot-ridden day
without it. Doom.
12. Women are funnier than men. Ok, so
we don’t have stats to back this up, BUT
Amy Poehler, Tina Fey, Bridget Christie,
Lucy Omielan, Sarah Silverman, Lena
Dunham, Caitlin Moran, Joan Rivers (RIP),
and the entire cast of Ab Fab …
13. We’re natural born master negotiators.
Like, hand on heart, who hasn’t sneakily
persuaded someone to do
EXACTLY what they wanted them to do,
whilst actually saying the total opposite?
None of you. Case made.
14. We can cry without judgement. And
everyone knows, sometimes there’s
nothing better than a good cry.
15. And finally, we’ll leave you with these
two words: multiple orgasms.


Posted via Blogaway

Friday, January 2, 2015

Window account

You might want to have multiple accounts on our computer so that family members can share the same computer and yet have their own accounts. Each account comes with a place to store Documents and Pictures and other personal data. To create a new account you have to find the Control Panel. This can be achieved by clicking the Start button and then looking for the Control Panel icon, or typing the words ‘Control Panel’ after clicking Start. On the Control Panel youhave UseCr management options. These are referred to differently in different versions of Windows. Look for something called “User Accounts” or similar, for example: Clicking this button takes you to a page which displays information about accounts.You want to find the option that lets you create a new account.In some versions of Windows you are asked for a Microsoft account. This is an online account with Microsoft.com that linksall your different logons on different computers.Alternatively you can create a local account. Local accounts are the standard for all versions of Windows before Windows 8 – they just exist on the local computer.When creating an account you may have toclick to ‘Manage anotheraccounts’ to get to the option to create an account:Then click to create an account:At this point you enter the name for the accountand choose whether or not it should be an Administrator. Note that Administrator access gives the user FULL control over your machine so it is good practice to only give Administrator access to accounts that really need it.Finally click the ‘Create Account’ button and you are done!

Sunday, December 28, 2014

Table for today

P GD Pts.
1 Chelsea 19 27 46
2 Man City 19 24 43
3 Man Utd 19 14 36
4 Southampton 19 17 33
5 Arsenal 19 11 33
6 West Ham 19 7 31
7 Tottenham 19 0 31
8 Swansea 18 4 28
9 Newcastle 19 -6 26
10 Liverpool 18 -2 25
11 Stoke 19 -2 25
12 Everton 19 -2 21
13 Aston Villa 19 -11 21
14 Sunderland 19 -11 20
15 QPR 19 -13 18
16 West Brom 19 -10 17
17 Hull 19 -8 16
18 Crystal Palace 19 -10 16
19 Burnley 19 -15 16
20 Leicester 19 -14 1

Saturday, December 27, 2014

Theft In ATM machine increased


Rise in ATM theft overwhelms banks
>Escalation of ATM thefts is overwhelming commercial banks in the country which are increasingly

Dar es Salaam. Escalation of ATM thefts is overwhelming commercial banks in the country which are increasingly finding it difficult to cope with huge requests to compensate hundreds of victims of the electronic fraud.

Inquiries by The Citizen on Saturday shows that banks are still struggling to come up with an effective solution to the problem that has put depositors in fear of attack as vulnerability widens.

This failure of the banks to change things around despite several measures to enhance their risk management process has made them more susceptible to card skimming.

And months that the banks are taking to compensate victims of ATM theft is another frustrating side of this crime for depositors who have fallen victim of the theft across the country.

Mainstream banks -- NBC, Standard Chartered, CRDB, NMB and Barclays—are losing hundreds of millions of shillings in ATM card skimming and their customers are worried on the fate of their deposits.

Banks are not ready to reveal how much they lose in ATM fraud despite written requests being sent to them, but according to some reports banks have in the past few years been made to spend over a billion shillings in compensations.

Mr Anthon Mwangake, who banks with CRDB Bank in Kahama, Shinyanga lost Sh139,000 a month ago in ATM skimming. At around 10:40pm he received an sms alert that his ATM card has been used to draw the amount.

The next morning, while at the bank to register his case came three other people with similar complaints.

Although Mr Mwangake was refunded the money in less than 45 days he was told to wait. He is losing faith with banks.

“I’m not confident with with the security system in our banks. I suspect inside these banks could be some culprits,” Antony told The Citizen on Saturday.

Mr Mwangake, however, is just among the few lucky ones who got refunded in such a short period of time. Most victims have endured months of going up and down in banks’ corridors to pursue refund.

It was not that easy for a city resident, Mr Adam Gwankaja, whose 1.7 million was stolen from his Standard Chartered Bank account in five different transactions last Saturday.

“I tried to contact the call centre at the bank without response. The best thing I could do was to transfer the remaining money into M-Pesa to avoid further theft,” he says.

“The situation is so bad for us depositors. We are so vulnerable to ATM attacks today than ever before,” he says.

The bank has told him to wait 45 working days to investigate and process his refund.

Another Standard Chartered client who lost Sh2.7 million last  August in similar style, Mr Barnabas Mkwayu, complained he has endured four months of following up refund in vain.

He said he was told by the bank that the process was taking long because his money was withdrawn from an ATM though VISA that’s why the process was taking long because it has to involve other banks in investigations.

Head of investigations at one bank who preferred anonymity because he is not authorised to speak for the bank has confided to this paper that it was taking too long to compensate victims of ATM fraud because the banks are overwhelmed by escalating incidents.

“Delay in refund is because we are overwhelmed by ATM theft cases. We need enough time to investigate each particular case before we can endorse refund,” he said.

The problem of ATM fraud is on the rise whereby a task force was formed early last year to address the problem.

Last year, Bank of Tanzania (BoT) teamed up with Tanzania Bankers Association (TBA), Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), Financial Crime Unit and Cyber Crime Unit to study escalating incidents of ATM theft and recommend ways of taming the crime.

It is also understood that the BoT had also directed commercial banks to take several measures to curb ATM theft including carrying out awareness programmes on the safe use of the machines, including careful and handling of sensitive details such as Personal Identification Number (PIN) to protect their accounts against unauthorized access.

Yesterday, BoT governor Benno Ndulu said the task force was still working to end the problem and did not fall short of directing commercial banks to implement directives issued by the central bank to control ATM theft.

“We are advising banks to issue their customers with chip-and-pin ATM cards which are technologically highly secured,” said the governor.

He said banks must sensitize their customers on the risks of disclosing information such as their PINs to other people.

Caught for poaching


POSTED WEDNESDAY, DECEMBER 24, 2014 | BY- ALEX BITEKEYE AND AGENCIES
Ivory smuggling kingpin seized in Dar
>Police confirmed yesterday the arrest of the suspected mastermind behind ivory trafficking



Mr Feisal Ali Mohammed

ADVERTISEMENT
Dar es Salaam. Police confirmed yesterday the arrest of the suspected mastermind behind ivory trafficking across the East African region.

The Deputy Director of Criminal Investigations, Mr Diwani Athumani, told The Citizen by telephone that Kenyan national Feisal Ali Mohammed, 46, was arrested in Kariakoo, Dar es Salaam, on Monday night.

“The suspect is in police custody and is being questioned,” he said.

“We are checking to see whether he has links with inter-regional organized crime and if he entered Tanzania legally.”

The head of Interpol in Tanzania, Mr Gustavu Babile, said the suspect was caught after Interpol and Tanzania police force joined forces following a tip-off.

Mr Babile said Mr Mohammed was tracked down to Tanzania following a warrant of arrest issued against him in October, this year, adding that the agency had posted his picture and details on its website.

According to police, Mr Mohammed is the leader of an international poaching syndicate in the region, and is linked with the seizure of 228 tusks and 74 ivory pieces weighing over two tonnes at a motor vehicle warehouse in Tudor, Mombasa, in June, last year.

Interpol last month put Mr Mohammed on a list of nine most wanted suspects linked to crimes against the environment.

His arrest was also confirmed by Kenyan authorities.

“Feisal Ali Mohammed was arrested by Interpol officers in Dar es Salaam. He was then booked in Msimbazi Police Station at 10.42pm last night,” Kenya’s director of public prosecutions said in a statement.

It said he is facing charges in Kenya’s port city of Mombasa for “dealing  in and possession of elephant tusks” weighing more than two tonnes and equivalent to at least 114 poached elephants, which were found during a raid in June. Two alleged accomplices, Abdul Halim Sadiq and Ghalib Sadiq Kara, were arrested then, but Mohammed managed to escape and has been on the run since.

According to an Interpol source, Mr Mohammed was caught in “a string operation” conducted in collaboration with Tanzanian police.

He is the second of the nine alleged “environmental criminals” listed by Interpol to have been arrested since the Interpol appeal last month.

Earlier this month, Zambian national Ben Simasiku was arrested on charges of possessing ivory from Botswana.

In November, Interpol said the arrest of the suspects would “contribute to the dismantling of transnational organised crime groups which have turned environmental exploitation into a professional business with lucrative revenues.” Ivory is sought  after for jewellery and decorative objects and much of it is smuggled to China, where many increasingly wealthy shoppers are buying ivory trinkets as a sign of financial success.

A sharp rise in poaching in Kenya, which is home to an estimated 30,000 elephants and just over a thousand rhinos, has sparked warnings from conservation groups that the government is losing the fight against the slaughter.

Poaching of the African Forest Elephant is a serious issue in southern Tanzania as well as other districts where elephants are free to stray outside national park surveillance.

As a result, the population of elephants has decreased by two thirds since the 1950s.

A study conducted by Tanzania Wildlife Research Institute (Tawiri) revealed that the number of elephants in two wildlife sanctuaries in Tanzania indicated a sharp fall by more than 40 per cent in just three years, as poachers increasingly killed the animals for their tusks. 

The study was conducted in the Selous Game Reserve and Mikumi National Park and revealed elephant numbers had plunged to 38,975 in 2009 from 70,406 in 2006.

Given the estimated total elephant population in Tanzania as between 110,000 and 140,000; it was feared that with such a large drop in numbers over such a short period of time this may wipe out the country’s elephant population within seven years.

ADVERTISEMENT
-

DESKTOP VIEWBACK TO TOP
News

Business
Magazines

Entertainment
Opinion

Sports

START MENU

feature in Microsoft Windows ever since Windows 95. It has changed and evolved over the years but the essential idea has remained the same: it is the central place where you can find all of the programs installed on your computer.
Use the buttons below to navigate through the lesson

On click the start you can see all the installed programs in a computer

Wednesday, December 24, 2014

Arrested for ivory smuggling


Ivory smuggling kingpin seized in Dar
>Police confirmed yesterday the arrest of the suspected mastermind behind ivory trafficking

Mr Feisal Ali Mohammed

Dar es Salaam. Police confirmed yesterday the arrest of the suspected mastermind behind ivory trafficking across the East African region.

The Deputy Director of Criminal Investigations, Mr Diwani Athumani, told The Citizen by telephone that Kenyan national Feisal Ali Mohammed, 46, was arrested in Kariakoo, Dar es Salaam, on Monday night.

“The suspect is in police custody and is being questioned,” he said.

“We are checking to see whether he has links with inter-regional organized crime and if he entered Tanzania legally.”

The head of Interpol in Tanzania, Mr Gustavu Babile, said the suspect was caught after Interpol and Tanzania police force joined forces following a tip-off.

Mr Babile said Mr Mohammed was tracked down to Tanzania following a warrant of arrest issued against him in October, this year, adding that the agency had posted his picture and details on its website.

According to police, Mr Mohammed is the leader of an international poaching syndicate in the region, and is linked with the seizure of 228 tusks and 74 ivory pieces weighing over two tonnes at a motor vehicle warehouse in Tudor, Mombasa, in June, last year.

Interpol last month put Mr Mohammed on a list of nine most wanted suspects linked to crimes against the environment.

His arrest was also confirmed by Kenyan authorities.

“Feisal Ali Mohammed was arrested by Interpol officers in Dar es Salaam. He was then booked in Msimbazi Police Station at 10.42pm last night,” Kenya’s director of public prosecutions said in a statement.

It said he is facing charges in Kenya’s port city of Mombasa for “dealing  in and possession of elephant tusks” weighing more than two tonnes and equivalent to at least 114 poached elephants, which were found during a raid in June. Two alleged accomplices, Abdul Halim Sadiq and Ghalib Sadiq Kara, were arrested then, but Mohammed managed to escape and has been on the run since.

According to an Interpol source, Mr Mohammed was caught in “a string operation” conducted in collaboration with Tanzanian police.

He is the second of the nine alleged “environmental criminals” listed by Interpol to have been arrested since the Interpol appeal last month.

Earlier this month, Zambian national Ben Simasiku was arrested on charges of possessing ivory from Botswana.

In November, Interpol said the arrest of the suspects would “contribute to the dismantling of transnational organised crime groups which have turned environmental exploitation into a professional business with lucrative revenues.” Ivory is sought  after for jewellery and decorative objects and much of it is smuggled to China, where many increasingly wealthy shoppers are buying ivory trinkets as a sign of financial success.

A sharp rise in poaching in Kenya, which is home to an estimated 30,000 elephants and just over a thousand rhinos, has sparked warnings from conservation groups that the government is losing the fight against the slaughter.

Poaching of the African Forest Elephant is a serious issue in southern Tanzania as well as other districts where elephants are free to stray outside national park surveillance.

As a result, the population of elephants has decreased by two thirds since the 1950s.

A study conducted by Tanzania Wildlife Research Institute (Tawiri) revealed that the number of elephants in two wildlife sanctuaries in Tanzania indicated a sharp fall by more than 40 per cent in just three years, as poachers increasingly killed the animals for their tusks. 

The study was conducted in the Selous Game Reserve and Mikumi National Park and revealed elephant numbers had plunged to 38,975 in 2009 from 70,406 in 2006.

Given the estimated total elephant population in Tanzania as between 110,000 and 140,000; it was feared that with such a large drop in numbers over such a short period of time this may wipe out the country’s elephant population within seven years.

Friday, November 1, 2013

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MITIHANI NA UPANGAJI WA ALAMA kidato cha nne na sita

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MITIHANI NA UPANGAJI WA ALAMA| Print |
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
UPANGAJI WA VIWANGO VYA ALAMA, MATUMIZI YA ALAMA ENDELEVU YA MWANAFUNZI NA UFAULU
1. UTANGULIZI
Wizara imekusanya maoni ya Wadau wa Elimu kuhusu Upangaji wa Viwango vya Alama (Grade Ranges)
katika Mitihani ya Kuhitimu Kidato cha Nne na cha Sita pamoja na Matumizi ya Alama za Tathmini
Endelevu ya Mwanafunzi (Continuous Assessment ama CA) kwa ajili ya kuamua kiwango cha ufaulu wa
mwanafunzi. Maoni ya wadau yamekusanywa kwa sababu kwa muda mrefu sasa upangaji wa viwango vya
alama vinavyotumika na utaratibu wake katika mitihani ya kuhitimu Kidato cha Nne na Kidato cha Sita
umekuwa haufanani pamoja na kwamba mitihani hiyo yote ni ya elimu ya sekondari. Pia mfumo masuala
mbalimbali ya mitihani katika elimu ya sekondari umekuwa na miundo tofauti ikiwemo ule unaotumika
shuleni na ule wa Baraza la Mitihani la Taifa. Kwa sasa kuna miundo mikuu miwili katika mfumo huo.
Muundo wa Kwanza ni upangaji wa viwango katika ngazi ya Shule ambapo Alama Mgando (Fixed Grade
Ranges) zifuatazo hutumika kupanga madaraja: A = 81 – 100; B = 61 – 80; C = 41 – 60; D = 21 – 40 na F = 0
– 20. Muundo huu umetumika kwa muda mrefu na umezoeleka kwa walimu na wanafunzi wa elimu ya
sekondari kwa ujumla.
Muundo wa Pili ni wa viwango vinavyotumiwa na Baraza la Mitihani la Taifa ambapo ambapo kabla ya
mwaka 2012 muundo wa viwango nyumbufu (flexible grade ranges) ulitumika. Katika muundo huu uwigo
wa alama ulibadilika badilika kulingana na hali ya matokeo ilivyokuwa kwa mwaka husika. Lakini kuanzia
mwaka 2012, Serikali iliamua kutumia mfumo wa Upangaji wa Alama Mgando (Fixed Grade Range) kwa
Kidato cha Nne na Kidato cha Sita. Katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo
huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, B = 65 – 79, C = 50 – 64, D = 35 – 49, F = 0 – 34. Kwa
upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80 – 100; B = 75 - 79; C = 65 – 74; D = 55 – 64; E
= 45 – 54; S = 40 – 44 na F = 0 – 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa
sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo.
Vilevile, Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995 imeelekeza kwamba katika kuamua kiwango cha
ufaulu wa mwanafunzi wa elimu ya sekondari, Alama za CA zitachangia asilimia hamsini (50%) na Mtihani
wa mwisho utachangia asilimia hamsini (50%). Kwa upande wa Zanzibar, CA zimekuwa zikiandaliwa kwa
mfumo wa asilimia arobaini (40%) na mtihani wa mwisho asilimia sitini (60%). Pamoja na kwamba Baraza
halijawahi kuutumia mifumo hii tangu ilipowekwa, kumekuwa na mitazamo, maoni na mapendekezo
tofauti katika muundo na matumizi ya alama za CA. Kuna mawazo pia kwamba mfumo wa CA kuchangia
matokeo ya mwisho ya mwanafunzi pia utumike kwa watahiniwa wa kujitegemea (private candidates).
Kwa sasa matokeo ya mitihani ya watahiniwa hawa yamekuwa yakitumia alama za mtihani wa mwisho tu
na hivyo kutafsiriwa kama utaratibu ambao unamwonea mwanafunzi ambaye anahamu ya kujiendeleza
kielimu lakini anakwama kwa sababu mfumo unaotumika siyo rafiki kwa mtahiniwa.
Kwa mantiki hii, Wizara imedhamiria kufanya harmonization ya masuala ya alama katika mitihani ya
Kidato cha Nne na Kidato cha Sita ili kupata muundo mmoja na ulio wazi kwa wadau wote wa elimu ya
sekondari. Lakini pia serikali imedhamiria kuhakikisha tathmini za wanafunzi katika ngazi mbalimbali
zinakwenda sambamba na matarajio ya mitaala inayotumika na ambayo inahuishwa mara kwa mara ili
iendane na wakati na mahitaji ya elimu katika ngazi mbalimbali.
2
2. DHANA YA MITIHANI NA ALAMA
Mitihani hutumika kwa madhumuni mbalimbali ikiwemo kupima endapo malengo ya kujifunza na
kufundisha yamefikiwa na pia kubaini changamoto mbalimbali katika utoaji wa elimu katika ngazi husika.
Kimsingi, mfumo wa mitihani ni jambo linalopangwa kwa kuangalia mambo mbalimbali ikiwemo hali halisi
ya elimu katika ngazi husika. Mfumo unaweza kubadilika kulingana na elimu inavyoendelea kukua na
mahitaji mbalimbali yanavyoendelea kujitokeza. Mtihani wowote lazima uwe na matokeo. Ili matokeo
haya yapatikane, kila nchi imejiwekea utaratibu wa kuyapata matokeo hayo kulingana na malengo
(objectives) ya mtihani husika.
Kitaalamu, mtihani una uhusiano mkubwa sana na mitaala (curricula) na mihtasari yake na jinsi mitaala
hiyo inavyofundishwa na wanafunzi kujifunza (curricula instruction or delivery). Mitihani pia huwa
inafanyika katika muda maalum na kwa hivyo kuna:
a) mitihani kwa ajili ya kupanga wanafunzi katika makundi (streams) kulingana na umahiri
wao (placement assessment),
b) mitihani ya kubaini kama ufundishaji unakwenda vizuri na changamoto zilizopo ili
kuchukua hatua rekebu kadri mwanafunzi anavyoendelea kukua kielimu (diagnostic
assessment),
c) mitihani ya kubaini ukuaji wa mwanafunzi kielimu (formative assessment) na
d) mitihani ya kumaliza elimu katika ngazi husika (summative assessment).
Mara nyingi mitihani ya kundi (a) mpaka (c) inaunda kundi la CA wakati ile ya kundi (d) inaunda kundi la
mtihani wa mwisho (final examination ama FE).
Ili upimaji ufanyike, ni lazima mtihani uwe na muundo stahiki wa alama (grading structure). Muundo huu
hupangwa kulingana na maamuzi ya uwigo gani utumike. Kwa mfano, ngazi nyingi za elimu hutumia
uwigo wa alama 0 hadi 100 na kuna sehemu nyingine uwigo wake ni 0 hadi 50. Kwa miaka mingi, uwigo
wa alama kwa Kidato cha Kwanza hadi cha Sita hapa nchini umekuwa wa alama 0 hadi 100.
Pia, kimsingi, kuna mifumo miwili ya upangaji wa viwango vya ufaulu duniani katika kutunuku ufaulu.
Baadhi ya nchi au mifumo hutumia viwango vinavyobadilika (flexible grade ranges) ambavyo hupangwa
kwa kutegemeana na ufaulu wa watahiniwa katika somo husika. Nchi au mifumo mingine hutumia
viwango visivyobadilika (fixed grade ranges) ambavyo hupangwa na nchi au mifumo husika vitumike kama
kipimo cha ufaulu kwa masomo mbalimbali.
Katika mitihani ya elimu ya sekondari, Tanzania ilifuata mfumo wa kutumia viwango vinavyobadilika
(Flexible Grades) kuanzia mwaka 1973 hadi 2011. Hata hivyo, kwa madhumuni ya kuwawezesha wadau
kujua viwango vya ufaulu vinavyotumika katika kutunuku matokeo ya mitihani ya taifa ya sekondari,
Serikali iliamua kuanza kutumika kwa utaratibu wa viwango vya ufaulu visivyobadilika (Fixed Grades)
kuanzia mwaka 2012. Suala kubwa lililokuwa limebaki lilikuwa ushirikishwaji wa wadau ili kuliweka wazi
suala hili na kila mdau aweze kujua mfumo na miundo yake ikiwemo mfiko wa alama na maana yake
katika kila kundi la alama.
3. MAONI YA WADAU
Kabla ya kuwashirikisha wadau, Wizara iliunda Kamati ndogo kupitia taarifa mbalimbali na kutoa
mapendekezo ya jinsi muundo wa alama katika mitihani ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita unavyoweza
kuwa. Kamati hii ilifanya kazi hiyo na kutoa mapendekezo yake ambayo nayo yalipelekwa kwa wadau kwa
ajili ya majadiliano zaidi. Wadau mbalimbali walishirikishwa katika kutoa maoni juu ya utaratibu mpya wa
upangaji wa viwango vya alama na ufaulu. Wadau hao ni pamoja na jukwaa la taasisi za elimu ya juu,
chama cha wakuu wa shule za Sekondari nchini (TAHOSSA) wakuu wa vyuo vya ualimu vya umma,
wamiliki na wakuu wa shule na vyuo visivyo vya Serikali (TAMONGSCO), wakaguzi wa shule kanda,
muungano wa wanafunzi wa Taasisi za elimu ya juu nchini (TAHLISO), viongozi wa Wizara ya Elimu na
3
Mafunzo ya Amali Zanzibar, walimu, wanafunzi, wazazi, maafisa elimu Mkoa, Wilaya pamoja na maafisa
taaluma wao, wadau kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wanataaluma na Wanasiasa.
Maoni hayo yalikusanywa kupitia mikutano mbalimbali na kwa njia ya madodoso. Wadau wote
walikubaliana kwamba mfumo nyumbufu wa alama siyo mzuri na hivyo taifa lihamie kwenye mfumo wa
alama mgando katika mitihani mbalimbali.
Kwa jumla wadau walipendelea utaratibu wa upangaji makundi ya alama kwa kuzingatia muachano wa
alama kumi kumi kutoka kundi moja hadi jingine. Hali hii inasaidia kuondokana na muundo ambao
unawalundika wanafunzi wengi na mara nyingi wasiofanana katika uwezo wao kielimu katika kundi moja.
Aidha wadau walipendekeza kiwango cha chini cha ufaulu mzuri kuwa Cna hii iwe sawa na alama 40.
Kwa upande wa alama endelevu, wadau pia walipendelea kuwa CA ichangie asilimia 40 katika matokeo ya
mitihani ya kuhitimu ngazi husika ya masomo. Hata hivyo, wadau walitoa angalizo kwamba ni vyema
kukawa na muundo na utaratibu mzuri wa kuzipata alama endelevu za mwanafunzi. Muundo na utaratibu
huo unaweza kutumia mitihani ya Kidato cha Pili na ile ya mock ya Kidato cha Nne ambayo huwa
inaandaliwa, kusimamiwa na kusahihishwa kwa umakini na weledi wa kutosha. Pia mwalimu naye
asinyimwe fursa ya kuchangia kwenye alama za maendeleo ya mwanafunzi na hivyo matokeo ya mitihani
ya muhula wa kwanza na wa pili ya Kidato cha Tatu nayo yanaweza kutumika kama sehemu ya alama
endelevu. Hatua kali zichukuliwe kwa mtu na taasisi yoyote itakayobainika kukiuka maadili katika
usimamiaji na uwasilishaji wa matokeo ya mitihani.
Ili kuwaimarisha wanafunzi katika tasnia ya kufikiri na kuandika, kila mwanafunzi afanye project na
matokeo yake yatumike kwenye alama endelevu. Projects hizi zianze kuandaliwa wakati mwanafunzi
akiwa Kidato cha Tatu na kukamilishwa katika muhula wa kwanza Kidato cha Nne.
Kuhusu muundo wa madaraja, wadau wengi walishauri muundo uliopo sasa wa madaraja uimarishwe ili
kuanza kutumia muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (Grade Point Average ama GPA). Muundo
huu huwa ni rahisi kueleweka na kuuandaa kuliko muundo wa madaraja. Lakini pia, kwa kutumia muundo
wa GPA inakuwa rahisi katika kukadiria uwezo wa mwanafunzi kielimu na kufanya maamuzi mbalimbali
ikiwemo kuendelea na masomo katika ngazi mbalimbali za elimu.
Mwisho, wadau walikubalianana pendekezo la muundo wa alama lijaribiwe katika mfumo halisi (actual
testing) ili kujua faida na athari zake katika mfumo wa elimu kama pendekezo hilo likitekelezwa. Matokeo
ya Kidato cha Nne mwaka 2012 na Kidato cha Sita mwaka 2013 yatumike katika kufanya majaribio na
hivyo wataalamu wa mifumo wa NECTA wafanye kazi hiyo na kuleta mapendekezo yao kabla ya uamuzi
wa mwisho kufikiwa. Hili lilifanyika (angalia Kiambatansho A Jedwali la 3 na la 4).
Baada ya majumuisho ya uchambuzi wa maoni ya wadau, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Wizara
ya Elimu na Mafunzo ya Amali na Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI walikutana na kushauriana nini
kifanyike katika kupanga viwango vya alama za mitihani na ufaulu. Katika kikao hicho, Mawaziri,
Makatibu Wakuu wa Wizara hizo na Kamishna wa Elimu, walipata nafasi ya kupitia maoni ya wadau,
kujadili na kupendekeza viwango vipya vya alama za ufaulu vitakavyotumika katika mitihani ya Kidato cha
Nne ya mwaka 2013 na Kidato cha Sita ya mwaka 2014. Viwango vilivyopendekezwa vilizingatia pia maoni
yaliyotolewa na wadau hapo juu na hivyo kuridhia kwamba Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi sasa
itangaze utaratibu wa alama za mitihani ya taifa kwa Kidato cha Nne mwaka 2013 na Kidato cha Sita
kuanzia mwaka 2014.
4. VIWANGO NA UTARATIBU KUANZIA MWAKA 2013 KWA KIDATO CHA NNE NA MWAKA 2014
KIDATO CHA SITA
Baada ya kufanya tathmini ya maoni mbalimbali ya wadau, misingi ifuatayo ilizingatiwa katika maamuzi
kuhusu makundi ya alama na muachano wake:
4
a) Alama zitakazotumika zitakuwa A, B, C, D, E na F. Muachano wa alama kati ya kundi moja hadi
jingine utafanana, isipokuwa tu pale ambapo itaonekana kuna sababu na hakuna athari za kuwa
na muachano tofauti na ule ambao umetumika katika makundi mengine.
b) Makundi ya alama hayatakuwa na clusters isipokuwa pale ambapo itaonekana kufanya hivyo
kunaleta tija katika kupata picha ya wahitimu kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Kwa mantiki hii
(i) makundi ya alama A, C, D, E na F yabaki na cluster moja moja bali kundi la alama B
litakuwa na clusters mbili. Kundi la kwanza litakuwa la wale ambao wamepata alama kati
ya 50 mpaka 59 na litaitwa B na lingine litakuwa la wale ambao wamevuka uwigo wa 50
hadi 59 na kuelekea uwigo wa 60 hadi 74 na hili litaitwa B+ (angalia jedwali hapo chini).
(ii) Pamoja na kuwa na muachano wa alama 26 kama jedwali linavyoonesha hapo chini,
alama A kwa miaka mingi imekuwa ikianzia alama 75 hadi 100 na kwamba pamoja na
uwigo huo bado wanaofaulu kwa kiwango hicho ni wachache sana. Kwa mantiki hii,
hakuna haja ya kubadilisha uwigo ila juhudi ziendelee katika ufundishaji na ujifunzaji ili
kiwango cha ufaulu kiongezeke na kupata wanafunzi wengi zaidi wanaofaulu katika kundi
hili.
(iii) Pia, pamoja na kuwa na muachano wa alama 20 kama jedwali linavyoonesha hapo chini
kwa miaka mingi, huko shuleni mwanafunzi aliyepata alama 21 na hadi 30 alihesabiwa
kuwa na ufaulu wa chini kabisa au hafifu kwa kiwango cha alama D na ingawa ilikubalika
ufaulu wa aina hiyo kwa mazingira ya nchi yetu unaridhisha. Alama F ilikuwa ni kwa wale
waliopata chini ya hapo. Hivyo, alama F itaendelea kuwepo na itaanzia alama 0 hadi 19 na
E itaanzia alama 20 hadi 29 na D – 30 -39. Lengo la muundo huu ni kuwa alama
mbalimbali, isipokuwa kwa makundi machache, zianzie kwenye 0 yaani 0, 10, 20, 30, 40
na kuendelea badala ya kuanzia kwenye moja yaani 1, 11, 21, 31, 41 na kuendelea. Hii ni
kwa ajili ya kuleta mtizamo unaofanana katika ngazi mbalimbali za elimu ambapo kwa
sasa ngazi ambazo siyo za elimu msingi na sekondari zinatumia muundo wa kuanzia
kwenye 0 badala ya 1.
c) Uwigo wa jumla wa alama kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita utaendelea kuwa wa alama 0
hadi 100 na kila kundi katika uwigo huu limepewa tafsiri kwa ajili ya kuamua mambo mbalimbali
yanayohusu maendeleo ya mwanafunzi kulingana na malengo ya mtihani husika. Kimsingi, tafsiri
zifuatazo zitakatumika
(i) Alama A itakuwa na maana ya ufaulu uliojipambanua (distincion or outstanding
performance),
(ii) Alama B+ itakuwa na maana ya ufaulu bora sana (excellent performance),
(iii) Alama B itakuwa na maana ya ufaulu mzuri sana ( very good perfomance),
(iv) Alama C itakuwa na maana ya ufaulu mzuri (good performance);
(v) Alama D itakuwa na maana ya ufaulu wa wastani (low performance),
(vi) Alama E itakuwa na maana ya ufaulu hafifu (very low performance), na
(vii) Alama F itakuwa na maana ya ufaulu usioridhisha (unsatisfactory performance).
Wataalamu katika maeneo mbalimbali ya elimu na ulimwengu wa kazi, kwa kushirikiana na
Wizara, watatoa maana ya tafsiri hizi kiutendaji katika maeneo yao kulingana pia na mahitaji yao.
d) Alama C iwe ndiyo alama ya ufaulu mzuri ambao hauhitaji urekebu wa lazima, wakati alama D na
E ni alama za ufaulu unaohitaji urekebu kadri mwanafunzi atakavyokuwa anaendelea na masomo
ili kuthibitisha kama mlengwa anaweza na kulingana na mahitaji ya eneo husika (targeted
remediation). Alama F iwe alama ya eneo linalohitaji urekebu wa hali ya juu (intesive remediation)
ili mwanafunzi huyo aweze kumudu masomo kadri anavyoendelea kukua kielimu ama
atakapoingia katika ulimwengu wa kazi.
e) Makundi ya alama yatajumuisha CA kwa kiwango cha asilimia isiyozidi 40 na mtihani wa mwisho
kwa asilimia isiyozidi 60 kwa makundi yote ya watahiniwa ikiwemo wale wa kujitegemea (private
5
candidates). Hii ni kwa kuzingatia kwamba CA siyo vizuri izidi uwigo wa alama ya ufaulu mzuri
unapoanzia ambayo ni C au 40.
f) CA kwa upande wa Kidato cha Nne zitokane na mtihani wa Kidato cha Pili (alama 15), matokeo ya
Kidato cha Tatu (alama 5 kwa kila muhula, na hivyo jumla ya alama 10), mtihani wa Mock (alama
10) na kazi mradi au Projects (alama 5). Kwa upande wa Kidato cha Sita, CA iendelee kutokana na
muundo unaotumika sasa.
g) CA zitumike pia kwa watahiniwa wa kujitegemea. Kwa upande wa watahiniwa wa kujitegmea
ambao wanarudia Mitihani, CA zao zitumike zile zilizotumika kutoa matokeo yake ya mitihani ya
awali. Kwa watahiniwa wa kujitegemea waliopitia mfumo wa Qualifying Test (QT), matokeo ya QT
yatumike kama CA na mtihani wa mwisho uchangie alama 60.
h) Kwa vile alama endelevu kwa mwaka 2013 kwa wanafunzi wa Kidato cha Nne tayari
zimeshawasilishwa Baraza la Mitihani Tanzania, alama hizo zichangie asilimia 40 katika mtihani
wa Kidato cha Nne mwaka 2013.
i) Muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (Grade Points Average ama GPA) utaandaliwa na
kuanza kutumika pale utakapokuwa tayari na wadau wataelimishwa kuhusu muundo huo ili
wapate kuufahamu na manufaa yake katika elimu ya sekondari.
j) Muundo huu mpya wa alama utatumika kwa mzunguko wa miaka minne kabla haujahuishwa tena
ili kuupa muda wa kutosha kuona aina ya changamoto zinazojitokeza na jinsi ya kuzishughulikia.
Aina hii ya muda itaruhusu vidato vinne vya elimu ya sekondari ya kawaida na nane ya elimu ya
sekondari ya juu kupimwa. Hata hivyo, uhusihaji wa masuala ya mitihani unaweza ukafanyika
iwapo matokeo ya uhuishaji wa mitaala kwa ujumla utahitaji pia eneo la mitihani liguswe na
kuhuishwa pia.
Kwa mantiki hii, viwango vya alama na ufaulu ni kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 1 hapa chini:
Jedwali Na 1
MUUNDO WA ALAMA NA UFAULU
ALAMA UWIGO WA ALAMA IDADI YA ALAMA TAFSIRI
A 75 - 100 26 Ufauli Uliojipambanua
B+ 60 - 74 15 Ufaulu bora sana
B 50- 59 10 Ufaulu mzuri sana
C 40 - 49 10 Ufaulu mzuri
D 30 - 39 10 Ufaulu Hafifu
E 20 - 29 10 Ufaulu hafifu sana
F 0 - 19 20 Ufaulu usioridhisha
Kwa aina hii ya muundo wa alama, na kwa kuwa muundo wa GPA utaanza kuandaliwa na wadau
kuelimishwa kabla haujaanza kutumika, katika kipindi hiki mpaka wakati huo, muundo wa madaraja
utakuwa kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 2 hapa chini.
Jedwali Na 2
MUUNDO WA MADARAJA
MUUNDO WA ZAMANI MUUNDO MPYA MAELEZO
POINTI DARAJA POINTI DARAJA
6
7-17 1 7-17 I Kundi la ufaulu uliojipambanua na bora
sana
18-21 II 18-24 II Kundi la ufaulu mzuri sana
22-25 III 25-31 III Kundi la ufaulu mzuri na wa wastani
26-33 IV 32-47 IV Kundi ufaulu hafifu
34-35 0 48-49 V Kundi la ufaulu usioridhisha
Wataalamu wa mifumo ya mitihani watalifanyia kazi zaidi jedwali hili la madaraja ili liweze kutumika kwa
ufanisi katika kipindi hiki cha mpito.
Kwa mantiki hii, Daraja Sifuri linafutwa na kuwekwa daraja litakalojulikana kama Daraja la Tano na ambalo
litakuwa ndilo la mwisho kabisa katika ufaulu.
5. HITIMISHO
Mabadiliko haya yamefanyika ili kuendelea kuimarisha mfumo wetu wa elimu na kuweka wazi taratibu
mbalimbali kwa ajili ya mitihani na masuala mengine. Yako mambo mengi mengine ambayo hayana budi
kuendelea kuimarishwa ikiwemo mfumo wa mitaala, walimu, mazingira ya kujifunzia na kufundishia
pamoja na vitabu na vifaa vingine muhimu katika elimu. Masuala haya yanaendelea kuangaliwa kupitia
mikakati mbalimbali ikiwemo mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ama Big Results Now (BRN).
Ushirikiano wa wadau wote ili kuleta tija kwenye elimu ni muhimu sana na hivyo wizara itaendelea
kuwashirikisha wadau wote kwa kadri itakavyohitajika na wadau pia wanaombwa wasiache kuishirikisha
wizara pale watakapokuwa na jambo lolote ambalo linahitaji ushirikiano ili kwa pamoja tuweze kupata
mafanikio katika sekta ya elimu.
Imetolewa,
KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
TAAR