AHAZI

AHAZI

Sunday, March 17, 2013

mwananchi leo march 18 2013


HABARI KUU

Polisi wapekua ofisi za Chadema, Lwakatare kufikishwa mahakamani leo

Posted 5 hours ago
Wakati Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo, jana mchana ofisi za makao makuu ya chama hicho zilipekuliwa na polisi na kuondoka na nyaraka mbalimbali....

cheki nyoka


Bagamoyo. Ni mnyama hatari, mwenye sumu kali, anaogopwa, anaua, anaweza hata kukuachia ulemavu.
Hata hivyo Nobert Joseph Chenga, ameweza kucheza na kuishi na nyoka kwa miaka 34 sasa.
Siku hii, namkuta Chenga, maeneo ya Bagamoyo, akiwa katika moja ya kazi zake za kusaka na kufuga nyoka.
Alikuwa mchovu kwa sababu ya shughuli nzito ya kukamata nyoka kutoka mapori ya Miono, wilayani Bagamoyo.
Nilishuhudia nyoka wa aina mbalimbali wenye sumu wakiletwa katika mifuko maalumu.
mtaalam mwenyewe ameshika fimbo maalumu ya kuwasogeza au kukamata nyoka.
Wanapofika, mtaalam  mkoba kwa ustadi kisha kuwaweka katika chumba, akitumia fimbo hiyo kuwasogeza mahali panapohitajika kukaa.
Wakati mwingine anawashika, kwa mikono lakini kwa namna ambayo nyoka hao hawawezi kuuma. Anawapanga katika vyumba alivyovipa majina kwa mfano; Black Mamba, Boom Slag. Green Mamba, Cobra, Msanga na African Venom.
Nyoka mmoja mweusi, niliyeambiwa anaitwa Black Mamba, akiwa na urefu wa zaidi ya futi tano, anaponyoka mikononi mwa , tukio mtaalam nitimue mbio. Si mimi tu niliyetimua mbio, bali hata wasaidizi wa Chenga waliokuwa eneo hilo walikimbia. Hii ni kutokana na  mtaalam kuwa nyoka huyo akikuuma, huchukui dakika tano, kabla ya kubadili jina na kuitwa marehemu.
Ananionyesha alama kadhaa za kuumwa na nyoka, mikononi na miguuni mwake. Lakini bado anaishi nao, anawafuga na anaendelea kuwakamata ili wawe wengi zaidi.
Mapenzi na nyoka yalianza 19

utajiri nooooooooooooo


  A man stunned the court when he revealed that having sex with his mother-in-law was the only way which could make him rich overnight and he had been trying his luck for than a year.
The man, Amos Mambali (38), said a traditional healer told him that getting in between the sheets with his mother-in-law would make him a lucky man and become rich.

Mambali's revelations came out when he was hauled before Binga magistrate facing domestic violence charges after he thoroughly bashed his wife for questioning him about rumours she had heard.

It is reported that the accused's wife, Orpah Mambali, on 2 March confronted her husband and told him that there were rumours in the village  that he was having sex with his mother-in-law. Mambali was not happy with his wife's approach and told her that she should go and stay with those people saying 'bad things' about him.

A misunderstanding reportedly erupted between the two as the woman demanded explanations. Mambali started beating up his wife accusing her of taking rumours seriously and the woman later managed to escape and reported the matter to the police, leading to her husband's arrest.

When Mambali was in court, he poured out his heart and confirmed that he was spending most of his time at his mother-in-law's place because he wanted to be rich, but had not succeeded as yet. He further explained that a traditional healer told him that he was supposed to get rid of bad luck by having sex with the mother of his wife.

Nonetheless, the magistrate told him that he should work hard to get rich, not to expect miracles. Mambali was sentenced to 210 hours of community service at Siabuwa Primary School.

Saturday, March 16, 2013

mkosi juu ya mkosi

Jamaa mmoja alikua amekaa bar akaitazama bia yake kwa zaid ya dakika 20. Akatokea jamaa mmoja baunsa mtemi akaichukua akainywa yote ile bia

jamaa akaanza kulia hata hvo baunsa akamwambia 

"usilie bana nilikua nakutania tu nitakununulia nyingine" 

jamaa akajibu 

"hilo sio tatizo ila leo ninamikosi tu, asubuhi kazini nimefukuzwa, baada ya kutoka nje nkakuta gari yangu imeibiwa nikaja zangu bar , nimenunua bia yangu na kuiweka sumu ili nijiue wewe tena umeinywa"

Friday, March 15, 2013

jinsi ya kumwambia mzazi kama umefeli

Baada ya matokeo ya pepa kutoka:

Baba Johnny: Johnny naskia results zimetoka?

Johnny: Daddy unakumbuka Patrick, yule alikuwa wa kwanza last year shule?? amefeli.

Baba Johnny: Wah!!! what happend?

Johnny: Unakumbuka Shiro pia? yule alikuwa ananifundisha maths?? amefeli pia

Baba Johnny: Ghai??? whats with her poor perfomance?

Johnny: Walai ata cjui..unakumbuk­a pia Chebet?? yule alikuwa anashinda science contest zote?? amefeli pia??

Baba Johnny: kweli?? Na yako ilikuaje?

Johnny: Unakumbuka hadi Headboy wetu?? amefeli ­ pia

Baba Johnny: (akiwa amekasirika) Johnny!!! na wewe umepata nini??

Johnny: baba wewe nawe, kama hao wote wamefail sasa unaexpect nini???

SAMAHANI LAKINI .....Angalia herufi ya kwanza ya jina lako ili ujue tabia yako:-


A-mpole
B-mpenda haki
C-mcheshi
D-muongo sana
E-kicheche
F-mgomvi
G-mcha mungu
H-mchapa kazi
I-mgumu kuelewa
J-mvivu
K-mbishi
L-mtembezi
M-mwizi
N-mgombanishi
0-mtulivu
P-mjanja
Q-mwerevu
R-msaliti
S-mwenye mapenzi ya kwel
T-hana mapenz ya kweli
U-msafi
V-anapenda starehe
W-ana wivu
X-anapenda mapenzi
Y-ana vituko
Z-wa mwisho kwenye mambo yote.
bila shaka umefurahi kujua katabia kako,jipange.

prof and mbeba mizigo

Profesa mmoja wa chuo kikuu na rafiki yake mbeba mizigo waliamua kwenda mbali kutembea lakini hakukuwa na nyumba kwa hiyo wakalala ndani ya hema. Katikati ya usiku yule mbeba mizigo akamuasha rafiki yake profesa akamwambia: Angalia juu unaona nini na unatambua nini? Profesa akajibu: naona nyota na mwezi na natambua kwamba nyota ziko mbali zaidi na sayari yetu ya dunia ndo maana zinaonekana ndogo. Pia mwezi, jifunze kwamba mwezi huakisi mwanga wa jua na kuna sayari ambazo hazina mwezi. Lakini pia mambo kama haya ni mazito kuelewa na mbulula kama wewe ni ngumu zaidi ku-understand. Profesa alipomaliza akamuuliza mbeba mizigo: wewe unaona nini na unatambua nini? Mbeba mizigo akajibu: mimi naona nyota na anga na natambua kwamba hapa tulipo hema letu tayari limeibiwa na tumelazwa nje ya hema na ni porini, maana tulivyoingia ndani ya hema tulikuwa hatulioni anga, na hizo sauti za wanyama kwa mbali zinanitambulisha kwamba hatuko salama na inabidi tuanze kutafuta sehemu ya kujisitiri na jambo kama hili ni vigumu kwa wewe mbulula+ kuelewa.

Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya

FC Bayern München Vs Juventus.
Paris Saint-Germain FC Vs FC Barcelona.
Real Madrid CF Vs Galatasaray AÅž.
Málaga CF Vs Borussia Dortmund.

Masanja Mkandamizaji

Jamaa fulani alikuwa anataka kuoa. Sasa siku ya mazoezi ya ndoa akamfuata mchungaji popompo akamwambia: mchungaji, laki 2 hii hapa, siku ya ndoa ikifika ile sehemu ya kusema "Je, unaahidi kukaa naye kwa shida na raha hadi kifo kiwatenganishe?" wewe iruke hiyo sehemu. Mchungaji akakubali. Basi siku ya ndoa ikafika. Ilipofikia ile sehemu mchungaji akasema; "Je, unaahidi kukaa naye kwa shida na raha na karaha zote na kumtumikia mkeo kama mtumwa na kumpenda na popote utakapopita ukikutana na wanawake wengine uwe unakimbia na kuwahi nyumbani na kuicha vikao vya mipira na mambo mengine hadi kifo kiwatenganishe?" Jamaa akakasirika, kabla ya kujibu akamnong'oneza mchungaji: Hivi mimi na wewe tulikubaliana nini? Mchungaji akaingiza mkono mfukoni akatoa laki 2 akampa jamaa halafu akamwambia: Samahani ila binti huyu alikuja akatoa laki 5.

5 Ailments That Can Be Cured By Sex


1. Stress
Need to relax? Look no further than the bedroom. In a Scottish study, men and women were placed in stressful situations and told to keep records of their sexual activity. People who had recorded having intercourse responded better to stress.

2. Sleeping Problems
Trouble hitting the hay? Forget counting sheep. Oxytocin, the endorphin released during orgasms, also promotes sleep.
3. High Blood Pressure
Researchers discovered that sexually active people have lower blood pressure when faced with stressful tasks.

4. Bad Mood
Not only does semen contain mood-elevating chemicals, such as endorphins and oxytocin, the Institute for Advanced Study of Human Sexuality found that sexually active people take fewer sick leaves and enjoy life more. Sex has also been shown to boost self-esteem.

5. Dull Skin
No need to apply extra bronzer. Turns out, the “sex glow” is real after all. Thanks to increased blood circulation, oxygenation of the blood, and a rush of endorphins post-orgasm, the effects of sex can do temporary wonders for your complexion.

Allergic Teen Dies After Eating Cookie


Robin Fitzpatrick never knew peanuts could kill her son.
Cameron Groezinger-Fitzpatrick, 19, a college freshman who suffered from a severe nut allergy, died last Friday after eating a cookie that contained peanut oil. His friend had sworn it didn't.
"We were all so shocked, it came out of nowhere," Fitzpatrick told ABCNews.com. "For 19 years, he had been knock-on-wood safe."
The Plymouth, Mass., native was first diagnosed with a nut allergy when he was 8, after projectile-vomiting "across the room" at a Chinese restaurant, his mother said. In high school he suffered from a serious allergic reaction after he dropped his asthma inhaler into a pile of acorns while running. The wild nuts caused his throat to constrict. But he was fine after getting prompt treatment, his mother said.
Then, one week ago, he ate half a cookie.
Spring break had just started and the international business major with plans to study abroad in Australia had only been home for two hours, on a visit from Rhode Island where he attended Bryant University, according to his mother.
He and his friend were out driving and bought cookies. Groezinger- Fitzpatrick's friend ate one first. The friend said he didn't taste any hint of peanut.
"He said, Ah, the hell with it, I'm sure it's fine," his friend recalled Groezinger- Fitzpatrick as saying, his mother said.
Within minutes the teen was home; it was about 6:30 that evening, and he was doubled over and turning black and blue, his mother said. "I can't breathe, I can't breathe," he had said. He hadn't unpacked yet so his mom couldn't find his Epi-Pen -- an epinephrine autoinjector. She had one in her cupboard but it had expired two months earlier. First responders told her over the phone that she shouldn't use it.
A fire chief who lived next door brought over an Epi-Pen, which was administered to the teen. (Later, his doctor told his mother she could have used the expired pen, but couldn't say whether it would have helped him.)
Once at the hospital, 15 people tag-teamed to perform CPR on the dying teen. For two hours, they tried to revive him.
"I was begging so much, these people were crying and working on him, thinking, 'We're only doing this for the mother,'" she said.
At 9 p.m., he was declared dead. Fitzpatrick stayed with her son's body until 1 a.m.
"I didn't know you can die from nut allergies. I feel foolish," she said.
At least three million American children suffer from a food or digestive allergy, and the problem is growing, according to the U.S. Centers for Disease Control and Prevention. Between 1997 and 2007, the figure rose 18 percent.
Severe food allergies stem from a combination of genes, environment and possibly diet, said Dr. Kari Nadeau, associate professor of allergies and immunology at the Stanford University School of Medicine.
"We need more research to be done to help save lives," she said. "We don't have all the answers now."
As a small child, Groezinger-Fitzpatrick refused to nuts because their smell made him sick.
"It's almost like his body knew," said his mother.
Doctors later diagnosed him with an allergy to all nuts and told Groezinger- Fitzpatrick he could live a normal life. But he had to be very careful.
He wrote a bucket list at age 9. He carried an Epi-Pen. He checked food labels and questioned food service workers constantly.
But on Friday, there was no label. And his body didn't alert him to danger.
Now Groezinger-Fitzpatrick, who was on the dean's list at his college, won't be able to live in Australia with his girlfriend or work in finance.
He just might be able to cross off one of his bucket list items, though -- to save a life. He donated his organs.
"He always wanted to do something big," said his mother, as she prepared to attend his wake. More than 1,000 people were expected. "He's going out big. He's going to make others realize [they need to] be supercautious. Be your biggest advocate," she said.

see this


BBC World News

Top Ghanaian actress, Nadia Buari naked out

 wants you all to see her new tattoo in a special place, hence she decided to take a topless photo.

ushuhuda wa kweli mafuta kutoka mikononi


cheki madudu ya kidato cha 4


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES              EXAMINATIONS RESULTS   ...

cheki madudu ya kidato cha 4


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES              EXAMINATIONS RESULTS   ...

cheki madudu ya kidato cha 4


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES              EXAMINATIONS RESULTS   ...

cheki madudu ya kidato cha 4


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES              EXAMINATIONS RESULTS   ...

cheki madudu ya kidato cha 4


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES              EXAMINATIONS RESULTS   ...

cheki madudu ya kidato cha 4


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES              EXAMINATIONS RESULTS   ...

cheki madudu ya kidato cha 4


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES              EXAMINATIONS RESULTS   ...

cheki madudu ya kidato cha 4


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES              EXAMINATIONS RESULTS   ...

blog zinazo tisha kwa sasa


watu wafupi duniani

cheki sijui watapataje watoto

nyumba safi bei chee kabisa

nyumba hii inauzwa

Thursday, March 14, 2013

HIZI NDIO SIFA ZA KILA MKOA TANZANIA;



1. DAR - Utapeli
2. ARUSHA - Ustaarabu
3. MBEYA - Matukio
4. MWANZA - Fujo
5. TANGA - Mapenzi
6. MOROGORO - Starehe
7. DODOMA - Bahati
8. IRINGA - Elimu bora
9. RUVUMA - Pombe
10. RUKWA - Uchawi
11. TABORA - Mikosi
12. SHINYANGA - Njaa
13. SINGIDA - Upole
14. KAGERA - Misifa
15. LINDI - Waoga
16. KIGOMA - Ubishi
17. PWANI - Uvivu
18. MTWARA - Hasara
19. KILIMANJARO - Ubahili
20. MARA - Hasira
21. MANYARA - Utajiri
22. GEITA - Presha
23. SIMIYU - Maradhi
24. NJOMBE - Haraka
24. KATAVI - Aibu
haya mwenzangu watokea mkoa gani?

nyani huyu


NYANI mmoja alichoka kuishi. akatafuta njia ya kujiua akashindwa, basi akaamua kumtafuta simba ili aliwe. afe, basi alienda sehemu akamkuta Simba amelala. akamtia kidole nyuma mpaka Simba aka amka, basi mazungumzo yao yakawa kama hivi;
SIMBA: nani huyo tena !?, NYANI: mie nyani,
SIMBA:je kuna yeyote alieona?
NYANI: hapana, SIMBA:basi naomba rudia tena,maana hii raha sijawahi kuipata tangu nizaliwe,

HUU NSI UFARA KABISA

Jamaa 3 walipanga hotel mjini yenye gorofa 90 na hao jamaa walichukua rom1 iko flo ya 90 ili waenjoy zaid kuchek mj kw maref na mapana kw kua wao ni bush man wali2mia lift kupanda nawakashuka kw lift wakaenda zao misere jion waliporud hotel kw bahati mbya umeme ukawa umekatika na janereta bovu pia vidume wakashauriana safari ya kupanda ju kw ngaz ili wakalale ikiwa wamechanganyikiwa safari ya ku2mia ngazi had ju safari kabla haijaanza jamaa1 akawambia wenzake sasa kw kua hi safari ndef had 2fike inatakiwa 2anzishe story njiani hd 2fike 2ko m2 3 inatakiwa 2pige story aina3 story ya kwnza iwe ya kutisha na ya pili iwe ya kuchekesha na ya3 iwe ya kuhuzunisha wakakubaliana safar ikanza pipo ya kwnza ikanzisha story ya kutisha hd flo ya 30 pipo ya pili ikagonga story ya kuchekesha hd flo ya 60 pipo y3 inamalizia ikanzisha stry ya kuhuzunisha walipofika flo ya 89 akawastopisha wenzake akawambia sasa nisikilizeni kw makini hi story ya mwisho ili 2fike ndo ya kuhuzunisha kbsa 2mesahau ufunguo chin reception.

SIKU YA KUGRADUATE NOMA KWELI

Ulikuwa siku ya furaha kumaliza shule, mgeni rasmi alikuwa waziri.
Sasa ukafika Wakati wa kuimba kwaya,
Wimbo ulikuwa Kama ifuatavyo
Muongoza kwaya:Wanawake munapenda nini?
Waitikiaji; sisi tunapenda MBooooooooo. Mbooooooooooo......ga za majaniiiiiiiii ili tujenge mwili
Muongoza kwaya: wanaume munapenda nini sisi tunapenda KUMAaaaaaaaaaaah,kumaaaaaaa... lizashuleeee tujenge taifa..
Muheshimiwa nu sura achape lapa...maana alikuwa amefumba macho badala ya kuziba masikio.

KIFO NOMAAAAAAAAAAAAAAAA

Kifo Noma! Majambazi walivamia kanisani na wakasema wanawaua wauminiwote, na wataanza kuua kwa kufuata alfabeti. Wakamuulizamchungaji unaiitwa nani? Mchungaji akajibu, Zosef Zabrahamu, wa pili Zobadia Zamweli, wa 3 Zanna Zadam, wa 4 Zesta Zelia.......... ­... Chezea kifo wewe?

Friday, March 8, 2013

how i contracted hiv


I was born and brought up in a God fearing Christian family that believes in moral and religious discipline. I grew up so disciplined that I never had a boyfriend until I entered the University in 2006.
All my friends knew me as a good girl who takes no nonsense from anyone especially the guys. Due to this, guys hardly approach me even though I am a very beautiful girl with everything guys desire in a woman- from curves to feminine gifts.
After my first year at university, I decided it’s time to loosen up and enjoy myself a bit. Some of my friends would say: Anne, na you holy pass, come girl flex o! I ignorantly danced to their tune by accepting to go out with James, a guy working with SAIPEM Contracting Nigeria, an oil servicing company in PH.
James is charming. In fact he is every young girl’s dream guy, including most of my friends', who keep telling me that I am lucky to have found a guy like James- tall, dark skinned, macho and most importantly he got cash.
As a good girl I am, I decided not to accept any other guy in my life irrespective of the uncountable number of guys pestering me to be their girlfriend, and I also thought James was faithful to me like I was to him, but that was my first sin.
We dated for a year and three months before I finally succumbed to sleep with him, and before I did, I told him openly that I hate condoms because I am afraid it may have a negative reaction on my system, so I suggested that we must go for a HIV screening, and to my greatest surprise, James agreed. So we went to one reputable hospital at Iwofe road, and both of us tested negative. This result made me fall more in love with James, and was ready to give him all of myself as he wished.
After the first intercourse, it was as if I got initiated into a new cult, every now and then, I was thirsty to have James, and before I knew it, it became incontrollable to the extent that when James travelled to Italy for a training, I couldn’t stand a day without having sex on phone with James. The phone sex further aggravated the whole issue, and before I knew it, I fell victim to this unknown guy I met at a club.
You may be wondering what took me to a night club if I claim to be a good girl? Actually, I was lured into going to club by friends who told me it was just to go dance and catch fun, that’s all. This guy seemed to be into hip hop music, and he was smoking hot, so it was easy for him to win my admiration at a glance. Unfortunately, I fell prey to his words and he drove me to his exquisite apartment in a luxury car I hardly knew, but the car was superb. I wanted him to sleep with me for sure, but I didn’t want to tell him directly because I knew that was exactly what he wanted to do too, so I just flowed with him.
Just when he was about to enter me, I noticed he had no condom, so I insisted he gets one, and he rallied around and got one pack and then opened it to tear one. I made sure he wore it before going inside me, but that was not enough, and this is where I want all females reading this piece to pay attention.
He entered me, and as usual, started the whole thing, and believe me, the guy was so hot to the extent that I lost control of myself till the moment I felt some unusual sensation like a fluid gushing inside me, then he withdrew, and guess what? This guy removed the condom in the process of thrusting in me, which meant he had sex with me without condom. I cried bitterly and wore my clothes so fast and left his apartment, then boarded a taxi to my hostel. My night was filled with nightmares.
It was as if James knew that I had betrayed him, so when he returned and it was time for us to have sex as lovers, he insisted that we go back and screen ourselves again of HIV, and to my greatest shock, I was found positive.
To all girls out there, HIV is real, there’s nothing like protection, in fact it is the guys that can decide whether to use condom or not, so I would advice any girl to abstain from sex if you want to stay away from HIV.
I am still praying and hoping for my miracle healing, and I know it will come. Thank you, please share my story. God bless you.

fashion

this girl  still stunning most of men see this picture

chirp of the Day: Rapper Eva Alordiah

The playful Eva is inviting everyone to watch her first Keek video. It appears she filmed it with just her Tshirt.

Wednesday, March 6, 2013

Meet The New Age Female Preacher Who Preaches With Her Breasts Exposed


she is a preacher who sees nothing wrong with exposing her breast while spreaching the word.
Her sermons aptly named "The Gospel From The STRIPPER POLE" gets lot of fans, mostly men.

I Have Been With My Boyfriend For Six Years, Still No Ring!


  I have been with my boyfriend six years, and we've lived together for four of them.
I have never pressured him about marriage, and we have talked about it happening, but I'm starting to give up hope.
While I feel content with our relationship, I'm becoming insecure about why he hasn't asked me yet. I know it's just a piece of paper, but I'd like to have the commitment before we have kids.
On another note, he is the first man I've been with that has a very low sex drive, we go for weeks without having sex. As a professional, I’m asking, is this far?

Hugo Chavez, fiery Venezuelan leader, dies at 58

Hugo Rafael Chávez Frías alizaliwa tarehe 28/7/1954 alikuwa rais wa   venezuera tangu 1999 hadi alipo fariki 2013 alikuwa kiongozi wa zamani wa fifth republic movement politicpal party tangu 1997 hadi 2007, alipokuwa kiongozi wa United Socialist Party of Venezuela (PSUV).ikifuata itikadi ya   of Bolivarianism and "socialism of the 21st century"

Saturday, March 2, 2013

du

Jamaa kakamatwa kwa kosa la wizi wa mamilioni ya vijisenti akahukumiwa kwenda jela akafungwa. Baada ya miezi miwili baba yake akamuandikia barua kwenda gerezani, jamaa akaipokea: "Mpendwa mwanangu, hali yangu ya uzee unaijua, moyo unaniuma na natamani ungekuwa hapa msimu huu wa kupanda unisaidie kulima lile shamba kule bondeni kwa ajili ya kupanda viazi, lakini sina jinsi, nafsi itaendelea kuuma na nitakusubiri mpaka mwaka utakapoaachiwa huru." Gerezani kawaida barua huwa zinasomwa kwanza na polisi magereza. Siku iliyofuata jamaa akaandika barua kumjibu baba yake: "Baba tafadhali sana wala usijaribu kulima hilo shamba la kule bondeni, pale ndipo nilipoyahifadhi- yale mamilioni niliyoiba, tutaonana Mungu akipenda." Siku iliyofuata mzee akashtukia askari kibao wamevamia shamba na kulilima kila kona lakini hawakupata kitu. Baadaye jamaa akamuandikia baba yake barua tena: "Mpendwa baba, huo ndo ulikuwa msaada ambao ningeweza kufanya, unaweza kupanda viazi sasa, kwaheri."

cheka basi

Jamaa mmoja alifumaniwa na mke wa mtu ila akafanikiwa kukimbia huku akiwa uchi mpaka standi ya mabasi alichofanya ni kupanda kwenye basi moja kwa moja cha kushangaza kondakta alikuwa anacheka sana yule jamaa akamuuliza konda unacheka nini? konda akajibu najiuliza nauli yangu utakuwa umeiweka wapi teheeeee